Yameenda likizo, yako kimya sana.Aiseee, hivi magonjwa bado yapo ama yalishatoweka jamani, mbona watu wanajiachia hivii[emoji30] [emoji30]
unajua nina miaka mingapi mkuu, mtu mzima na ninajitegemea kwa kila kitu, sema naingiwa na tamaa sana ya kuoa alafu karoho kengine kanasema achaUtoto raha sana! Natamani nirudi kwenye umri wa mtoa mada, ila ndiyo hivyo tena! Haiwezekani.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] , rafiki tuwe makini yapo ohoo! ,siasa zinaendelea na yenyewe yanaendelea!Yameenda likizo, yako kimya sana.
Yameachia siasa itawale kwanza
Sawa sawa rafiki.[emoji3] [emoji3] [emoji3] , rafiki tuwe makini yapo ohoo! ,siasa zinaendelea na yenyewe yanaendelea!
Mbona umeongea Kwa upole hivi rafiki, au unatamani siku utangaziwe magonjwa hayapo ili tujiachieee[emoji3] [emoji3]Sawa sawa rafiki.
Tutajitahidi ili tusiteketee