Kwa mara ya kwanza leo nimempa Mchepuko wangu hela ya Kusukia

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,915
24,682
Mimi sio muhongaji japo ni mtu wa Matumizi sana pale linapokuja swala la umeng'enyaji wa papuchi kutoka kwa mtoto mzuri,

Sina kariba ya kuhudumia mpenzi labda awe ni main na huduma zangu zinategemeana,
Ni zile za muhimu tu.

Jana wakati nipo namchakata mpenzi wangu(mchepuko) wa siku nyingi kidogo nilimuona amekuja huku amesuka zile nywele zake za mkono,
Huwaga hana makuu japo ni mzuri, binti mweupe, siyo mrefu sana kati tu, umbo ndio mashalah aswaa figure ya kutosha na tako lake la kuzugia,

Sasa leo kwa mara ya kwanza
Nikamsuprise tu nikamwambia tutoke nikaenda dukani nikamnunulia Rasta nikamsindikiza mpaka Saloon mjini nikalipa Akasukwa huku mimi nikiwa chimbo la jirani nikipiga vitu vyangu namsubiri,

Of course ilinitoka hela kidogo kwa sisi apeche alolo ni kubwa naweza kusema kweli ilinichomoka hela ya kodi ya chumba mwezi mmoja pamoja na Usafiri,

Alivyotoka alipendeza Sana kwa kweli and she was happy,
Alikuwa na furaha kiasi kwamba utafikiri nimetoka kumnunulia gari au Nyumba,
Tulivyorudi, mchana kutwa hakuacha kuonyesha Furaha yake kwangu juu ya tukio lile,

Kanipa penzi moja makini na kila mtu aliinjoi,

Tuko hapa anapika msosi akimaliza tule niendelee kumla Mpishi,


Cc Zero iq
 
Najaribu kuwaza tu hilo geto/nyumba unayoishi ndugu yangu umeshaingiza wangapi?

Hicho kitanda wamepita wangapi??

Nakushauri kitu kimoja

Ukifika muda unataka kuoa,umeamua sasa nataka mke

pls Hama nyumba,nunua kitanda kipya,godoro Jipya,vyombo vipya

Yani usianze maisha na chochote ulichonacho hapo ndani kwako

maana wewe ni malaya,kitanda chako malaya, vijiko malaya, godoro malaya

MASHUKA malaya yani huna kitu ambacho sio malaya humo ndani kwako...

MKEO atapokuja muandalie vitu vipya aseeee...hayo mengine HONGA/GAWA kwa uliowahi wachakata.

Kwa sasa nikutakie uchakataji MWEMA
 
Mimi sio muhongaji japo ni mtu wa Matumizi sana pale linapokuja swala la umeng'enyaji wa papuchi kutoka kwa mtoto mzuri,

Sina kariba ya kuhudumia mpenzi labda awe ni main na huduma zangu zinategemeana,
Ni zile za muhimu tu.

Jana wakati nipo namchakata mpenzi wangu(mchepuko) wa siku nyingi kidogo nilimuona amekuja huku amesuka zile nywele zake za mkono,
Huwaga hana makuu japo ni mzuri, binti mweupe, siyo mrefu sana kati tu, umbo ndio mashalah aswaa figure ya kutosha na tako lake la kuzugia,

Sasa leo kwa mara ya kwanza
Nikamsuprise tu nikamwambia tutoke nikaenda dukani nikamnunulia Rasta nikamsindikiza mpaka Saloon mjini nikalipa Akasukwa huku mimi nikiwa chimbo la jirani nikipiga vitu vyangu namsubiri,

Of course ilinitoka hela kidogo kwa sisi apeche alolo ni kubwa naweza kusema kweli ilinichomoka hela ya kodi ya chumba mwezi mmoja pamoja na Usafiri,

Alivyotoka alipendeza Sana kwa kweli and she was happy,
Alikuwa na furaha kiasi kwamba utafikiri nimetoka kumnunulia gari au Nyumba,
Tulivyorudi, mchana kutwa hakuacha kuonyesha Furaha yake kwangu juu ya tukio lile,

Kanipa penzi moja makini na kila mtu aliinjoi,

Tuko hapa anapika msosi akimaliza tule niendelee kumla Mpishi,


Cc Zero iq

Hey, unity 456, Mbozi, the soldier is down! Ushakolezwa wewe na dawa za washahili, utavutugukiwa mpaka ushangae.

Si mbaya kumpa hela mpenzi, ila kwa namna ulivyo bahili, nahisi umekolezwa! Pole sana, Hii safari Sio rahisi.
 
Back
Top Bottom