tuwe wakweli
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 223
- 59
Tangu uhuru jmn,ndio greda limekuja kuchonga barabara ya Ng'ingula-Masisiwe-Idegenda-Madege-Idete wilayani KILOLO cha kusikitisha zaidi ni kama wameharibu barabara kwani hakuna kifusi wala changarawe wakati kuna mvua nyingi sana hivyo hazitapitika tena.