Kwa mara ya 1 wanaidegenda wameliona greda

Kwa mara ya 1 wanaidegenda wameliona greda

tuwe wakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
223
Reaction score
59
Tangu uhuru jmn,ndio greda limekuja kuchonga barabara ya Ng'ingula-Masisiwe-Idegenda-Madege-Idete wilayani KILOLO cha kusikitisha zaidi ni kama wameharibu barabara kwani hakuna kifusi wala changarawe wakati kuna mvua nyingi sana hivyo hazitapitika tena.
 
Uchaguzi umekaribia..kipindi hiki utaona mambo mengi yakiwa yanatekelezwa....hata kama kwa kulipua lipua
 
Shukuruni Greda, kuna walioahidiwa Dubai pale Kigoma
 
Tangu uhuru jmn,ndio greda limekuja kuchonga barabara ya Ng'ingula-Masisiwe-Idegenda-Madege-Idete wilayani KILOLO cha kusikitisha zaidi ni kama wameharibu barabara kwani hakuna kifusi wala changarawe wakati kuna mvua nyingi sana hivyo hazitapitika tena.
hapo idunda wamefika aisee walau baiskeli na pikipiki zifike? kiwalamo, kimala, idunda, mhanga, itonya etc. uliyeko huko tujuze.
 
Back
Top Bottom