vunjo
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 1,323
- 2,607
Habari wadau mimi nikijana wa chuo cha udom niliwahi kupost kufanya mapenzi na malaya bila kinga ilikuwa siku ya pasaka Dodoma mjini maeneo ya uhindini ndipo niliingia pabaya kwa kuendeshwa na nyege. Kipindi chote hicho nilikaa kwa wasiwasi takribani miezi mitatu week iliyopita nilikwenda hospitali ya mkoa nikapima namshukuru sana mungu nimeonekana sina maambukizi. Yani kwasasa sitaki kusikia neno malaya acha nibaki na utamu wangu vikizidi najichua tu kuliko stress za kijinga. Nawashauri wenye tabia kama niliyo jaribu mimi waiache kabisa bora uwe na mpenz mmoja na mpime. Ahsanteni wadau