Kwa mahitaji ya ramani za nyumba

Kwa mahitaji ya ramani za nyumba

CEOgwamzy

Senior Member
Joined
Jun 14, 2014
Posts
141
Reaction score
51
kwa wale wanaohitaji kuchorewa ramani za nyumba na makazi,sasa huduma hyo inapatikana.Utachorewa kulingana na mahitaji yako au utachagua kutoka katika michoro yetu...bei zetu ni nafuu sana...KARIBUNI
 
Vijana waliomaliza vyuo hivi karibuni ni kama wana frustration za kutafuta kazi. Wewe unajua kuchora ramani, kwanini usitangaze biashara yako vizuri tukakutafuta?

1. Namba ya simu
2. Unapatikana wapi
3. Etc
 
ili tangazo lako hujaliweka vyema mkuu maana ungetuwekea location ulipo, namba ya simu au ungetupa mwelekeo wa kukutafuta mkuu hebu edit tangazo una uliweke vizuri samahani kama utaboreka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom