Panafaa kwa biashara gani? Unavyoona wewe?*FREMU KUBWA INAPANGISHWA*
inapatikana TABATA, BIMA
inatizama barabara ya lami
KODI: 120k (×6)
Mwenge mwana nyamala kijitonyama,Kawe, itafuqtana na bei yq flemZipo, maeneo gani?
Nyegezi mecco nyasakaMwanza maeneo gani?
Acha fitina mkuu hii serikali tangu inakusanya kodi imewapa maskini wangapi nyumba acha UDANANDA kaa kiuanaume usiwe machepeleHii siyo fitina mkuu asrams. Ni mawazo ya kuboresha sekta ya udalali ili wengi wao watambulike na wawe msaada zaidi. Chukulia dalali awe na TIN number, awe na kijisehemu chake cha kuacess (user interface) katika mfumo wa immigration system, awe na ramani ya sehemu husika (GPS)...Na katika kulipia pango la nyumba, mwenye nyumba aweze kulipia kodi pia etc. Hapo hakuna fitna na siwezi kufanya fitna bali nikutoa mawazo ya kuboresha mfumo, siko huko ulikowaza na sina connection ya kazi zangu na hiyo kazi.
Vipo uzuri lakini sasa dooo1)-Viwanja vinauzaa Goba Kulangwa
2)-Viwanja vimepimwa na vina hati.
3)-viwanja unaweza kulipa kwa awamu ndani
ya mwaka! au cash
4)-Vipo mita 400 toka barabara ya lami
5)- Bei ni 37,000 kwa sqm
View attachment 1075880