Kuna point hapo zingine zinaonyesha si kupenda bali ni ujinga walio nao....Haswa hio ya kumfumania mme wake, halafu bado anaendela kuishi na mme wake.
Any way nice thread.
Anakufumania, anapigwa, mume ananyang'anywa. Bwana yakimshinda huko alikodhani anapendwa anarudi kuomba msahama, anasamehewa. How about that?[/COLOR]