Kwa kuzimiana moto tu, kweli?

dotnet

JF-Expert Member
Mar 5, 2013
393
153
WanaJF, heshima kwenu hasa wanaothink positively. Ebana ee, msala, kuna mmama mtu mzima flani hivi japo si sana, ana umri wa 38 yrs na anafanya kazi benki kama mkuu wa idara, kifupi yuko vizuri ila hana mume wala mtoto. Nimekuwa nakutana naye maeneo ya sea cliff mara nyingi mpaka sasa tumekuwa marafiki. Juzi kati ndo kanipa story yote na kaweka wazi anaomba niwe mtu wake wa kumt///m'b tu wakati akiwa on fire kitu ambacho amesema kinamsumbua mara nyingi (nye''g). Ila sharti anasema nisiwe karibu naye sana wala kutumiana msg mara kwa mara maana analinda sana heshima yake. Mimi nipo kitaa na nina familia japi kibinadam hisia zipo kiukweli nisiwe mnafiki, mmamma kajaaliwa. Haya mambo jamani mwenye experience naomba busara zako hapa ili tamaa isije kuleta dhahma. Nipige?
 
Kuwa makini wengine huwa wameshaungua siku nyingi ndo maana hataki ujue undani wake zaidi ya mikasi unalipwa chako kisa unasepa, in short wana prefer ku pay as they enjoy being fuc***d with your big cock.

Ukute owner alishaanguka siku nyingi ( deceased).

Lakini choice ni yako kijana. Wewe ni dereva wa maisha yako mwenyewe, na unapita kwenye barabara yenye msongamano wa magari pamoja na kona kali nyingi. Kuwa muangalifu usiwe chanzo cha ajali.
 
Si umesema una familia? mkeo hakutoshi tamaa zikakumaliza shauri yako!
 
Back
Top Bottom