dotnet
JF-Expert Member
- Mar 5, 2013
- 393
- 153
WanaJF, heshima kwenu hasa wanaothink positively. Ebana ee, msala, kuna mmama mtu mzima flani hivi japo si sana, ana umri wa 38 yrs na anafanya kazi benki kama mkuu wa idara, kifupi yuko vizuri ila hana mume wala mtoto. Nimekuwa nakutana naye maeneo ya sea cliff mara nyingi mpaka sasa tumekuwa marafiki. Juzi kati ndo kanipa story yote na kaweka wazi anaomba niwe mtu wake wa kumt///m'b tu wakati akiwa on fire kitu ambacho amesema kinamsumbua mara nyingi (nye''g). Ila sharti anasema nisiwe karibu naye sana wala kutumiana msg mara kwa mara maana analinda sana heshima yake. Mimi nipo kitaa na nina familia japi kibinadam hisia zipo kiukweli nisiwe mnafiki, mmamma kajaaliwa. Haya mambo jamani mwenye experience naomba busara zako hapa ili tamaa isije kuleta dhahma. Nipige?