nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Saalam!
Kilichotokea Morogoro siku mbili zilizopita zimenipa uelewa Mpana juu ya kiumbe aitwae mtanzania.
Wakati anaingia bungeni kwa Mara ya Kwanza Abood, alijipangia yeye binafsi kutoa huduma ya maziko kwa Wana Morogoro, watu walifurahi, kushukuru na kumsifu mbunge wao.
Lakini hao hao wakati Rais anamshambulia Abood walishangilia kwa bidii zoteee! Nimetambua kiumbe kinachoitwa mtanzania siyo Cha kukiamini hata kidogo. Kiumbe huyo inatakiwa kuishi nacho kwa tahadhari kubwa sana
Ndugu Abood pole sana, naamini umejifunza, acha wafu wawazike wafu wao.
Fungia Basi zako.
Kilichotokea Morogoro siku mbili zilizopita zimenipa uelewa Mpana juu ya kiumbe aitwae mtanzania.
Wakati anaingia bungeni kwa Mara ya Kwanza Abood, alijipangia yeye binafsi kutoa huduma ya maziko kwa Wana Morogoro, watu walifurahi, kushukuru na kumsifu mbunge wao.
Lakini hao hao wakati Rais anamshambulia Abood walishangilia kwa bidii zoteee! Nimetambua kiumbe kinachoitwa mtanzania siyo Cha kukiamini hata kidogo. Kiumbe huyo inatakiwa kuishi nacho kwa tahadhari kubwa sana
Ndugu Abood pole sana, naamini umejifunza, acha wafu wawazike wafu wao.
Fungia Basi zako.