Kwa kilichotokea Morogoro, nimetambua kuwa duniani hakuna viumbe wanafiki kama Watanzania

Huwezi jadiri wazo Kama halipo.
Kwa ufahamu wako mdogo, ktk tukio lile wazo ni
lipi hata lijadiriwe?


Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app

Maswala ya ubinafsishaji yalianza na Mwinyi na baadae Mkapa kuyawekea mkakati mkubwa zaidi. Malengo yake yalikuwa kupunguza mzigo kwa serikali maana viwanda na mashirika mengi yalikuwa yanakula kuliko kuzalisha, kufufua ajira na kuongeza makusanyo ya kodi. Hiyo ndio ilikuwa idea ya serikali. Sasa mwenye serikali hivi sasa ni JPM, ana jukumu la kuendelea kusimamia hiyo idea.

Sasa kama Abood amepewa na anashindwa kuendeleza anarudisha nyuma concept nzima ya ufufuaji wa hizi taasisi, na kama anachukua mikopo kutumia hizi assets halafu akanunue mabasi ni makosa zaidi. Anawanyima watu ajira halafu baadae anakuja kuwapa misaada midogo midogo ambayo haina msaaa wowote wa muda mrefu.

People need economic opportunities sio misaada. Hicho kiwanda kingesaidia wakulima, mama ntilie, daladala etc etc. Economic multiplier effect.

Unajiita una akili kubwa, unashindwa kuona shida kwa mtu ambaye amepewa kiwanda halafu kakitelekeza unataka asisemwe kisa anatoa misaada. Ndio ujinga wa kupewa misaada ya kujengewa choo na mzungu, huku anaondoka na makontena ya dhahabu.
 
Saalam!

Kilichotokea Morogoro siku mbili zilizopita zimenipa uelewa Mpana juu ya kiumbe aitwae mtanzania.

Wakati anaingia bungeni kwa Mara ya Kwanza Abood, alijipangia yeye binafsi kutoa huduma ya maziko kwa Wana Morogoro, watu walifurahi, kushukuru na kumsifu mbunge wao.

Lakini hao hao wakati Rais anamshambulia Abood walishangilia kwa bidii zoteee! Nimetambua kiumbe kinachoitwa mtanzania siyo Cha kukiamini hata kidogo. Kiumbe huyo inatakiwa kuishi nacho kwa tahadhari kubwa sana

Ndugu Abood pole sana, naamini umejifunza, acha wafu wawazike wafu wao.
Fungia Basi zako.

Hakuna mtu morogoro anamtaka abood zaidi ya TISCCM kumsaidia kushinda.
 
Maswala ya ubinafsishaji yalianza na Mwinyi na baadae Mkapa kuyawekea mkakati mkubwa zaidi. Malengo yake yalikuwa kupunguza mzigo kwa serikali maana viwanda na mashirika mengi yalikuwa yanakula kuliko kuzalisha, kufufua ajira na kuongeza makusanyo ya kodi. Hiyo ndio ilikuwa idea ya serikali. Sasa mwenye serikali hivi sasa ni JPM, ana jukumu la kuendelea kusimamia hiyo idea.

Sasa kama Abood amepewa na anashindwa kuendeleza anarudisha nyuma concept nzima ya ufufuaji wa hizi taasisi, na kama anachukua mikopo kutumia hizi assets halafu akanunue mabasi ni makosa zaidi. Anawanyima watu ajira halafu baadae anakuja kuwapa misaada midogo midogo ambayo haina msaaa wowote wa muda mrefu.

People need economic opportunities sio misaada. Hicho kiwanda kingesaidia wakulima, mama ntilie, daladala etc etc. Economic multiplier effect.

Unajiita una akili kubwa, unashindwa kuona shida kwa mtu ambaye amepewa kiwanda halafu kakitelekeza unataka asisemwe kisa anatoa misaada. Ndio ujinga wa kupewa misaada ya kujengewa choo na mzungu, huku anaondoka na makontena ya dhahabu.
Nilichokileta hapa sicho unachozumza wewe.
Anzisha thread yako tutajadi
Usilazimishe unachofikiri wewe

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mtu morogoro anamtaka abood zaidi ya TISCCM kumsaidia kushinda.
Ndipo tunaposema Rais hakupaswa kumnawa Abood front of majority kwani hata kabla ya uchaguzi alijua kuwa ameua viwanda wasingempitisha na kuiba kura.
Sasa wengine humu wenye vichwa vikubwa akili Kijiji Cha chai, wanasema tujadiri issues siyo watu.

Hao tisccm hawakujua abood kaua viwanda?
Kwanini waliiba kura ili awe mbunge?

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom