Saa hz anatembea na Lisu.Lisu naye ametengenezesha mabango pale mtaa wa Swahili Karıakoo kwa ajili ya kuyapeleka Singinda na kuyatelekeza.Hv huyo Lisu jimboni au mkoanı kwake hakuna vijana wanaoweza kutengeneza fremu za picha zake mpaka aje Dar??Naye anawalaghai Watanzania eti atawakomboa!
Mangumi anayopigwa Lowassa si mchezo. Huku CCM na huku ACT(CCM B) Hawa mapigo yao kwa Lowassa no copy & paste. Kwenye TV napo usiseme. Kila habari nI CCM tu. Kwenye Radio ndo kamalizwa kabisa. Radio uhuru ndio editor wa radio zote. Hapa Dar picha zake labda abandike chini kwenye lami kila sehemu Magufuli.
Mangumi anayopigwa Lowassa si mchezo. Huku CCM na huku ACT(CCM B) Hawa mapigo yao kwa Lowassa no copy & paste. Kwenye TV napo usiseme. Kila habari nI CCM tu. Kwenye Radio ndo kamalizwa kabisa. Radio uhuru ndio editor wa radio zote. Hapa Dar picha zake labda abandike chini kwenye lami kila sehemu Magufuli.