GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,747
- 109,204
"Siridhishwi hata tone na nidhamu ya baadhi ya wachezaji wetu nje ya uwanja. Nimekuwa mnyonge kuona uwekezaji tuliouweka kwao, baadhi yao, huutumia kama fimbo ya kutuchapia."- Mo Dewji.
"Niwaambie wachezaji wote, Simba ni klabu kubwa kweli kweli, tena kubwa hasa, na hakuna shaka ni namba moja Afrika Mashariki, bodi ninayoiongoza mimi haitavumilia mchezaji yoyote asiyejua thamani ya Simba. Kuonyana onyana sasa imetosha."- Mo Dewji.
Sijawahi Kumuona ' Tajiri ' Mohammed Dewji akiongea kwa Kukasirika hivi na sasa ni rasmi kuwa hata Yeye ameanza Kuwachoka baadhi ya Wachezaji wasio na Nidhamu ambao siyo Siri japo wapo wengi hapo Klabuni Simba ila ' Mwanangu ' mwenyewe Kiungo Jonas Gerald Mkude hili linamuhusu kwa 100% na anatakiwa Kujitafakari na Kubadilika upesi.
Wengine ni akina Clatous Chama, Yusuph Mlipili na Gadiel Michael nao pia wabadilike na waachane na ' Upuuzi ' wao Mitaani.
"Niwaambie wachezaji wote, Simba ni klabu kubwa kweli kweli, tena kubwa hasa, na hakuna shaka ni namba moja Afrika Mashariki, bodi ninayoiongoza mimi haitavumilia mchezaji yoyote asiyejua thamani ya Simba. Kuonyana onyana sasa imetosha."- Mo Dewji.
Sijawahi Kumuona ' Tajiri ' Mohammed Dewji akiongea kwa Kukasirika hivi na sasa ni rasmi kuwa hata Yeye ameanza Kuwachoka baadhi ya Wachezaji wasio na Nidhamu ambao siyo Siri japo wapo wengi hapo Klabuni Simba ila ' Mwanangu ' mwenyewe Kiungo Jonas Gerald Mkude hili linamuhusu kwa 100% na anatakiwa Kujitafakari na Kubadilika upesi.
Wengine ni akina Clatous Chama, Yusuph Mlipili na Gadiel Michael nao pia wabadilike na waachane na ' Upuuzi ' wao Mitaani.