Habari wana JF,
Nimefuatilia baadhi ya Michezo kwa baadhi ya timu na kugundua kuwa kuna uonevu wa makusudi au kutokujua. Michezo inayozihusisha Simba na Yanga zinachezwa jioni saa 10 kama timu hizo zipo nje ya Dar es Salaam au zinacheza saa 1 usiku Kama zipo Dar. Wakati timu hizi zinacheza michezo yake wakati huo kuna timu zinacheza saa 8 mchana!
Kupishana kwa muda ni sawa labda kwa sababu za ukosefu wa viwanja, haki za matangazo n.k Sasa kwa joto na jua Kali hasa kwa kipindi hiki ni haki timu hzo kucheza saa 8 mchana?
Mbona Simba na Yanga hawachezi saa 8mchana?
Timu zinazocheza saa 8 mchana Zinatendewa haki afya za wachezaji na kimatokeo?
Bodi ya ligi ili HALIKO SAWA HATA KIDOGO.
Naomba kuwasilisha
Nimefuatilia baadhi ya Michezo kwa baadhi ya timu na kugundua kuwa kuna uonevu wa makusudi au kutokujua. Michezo inayozihusisha Simba na Yanga zinachezwa jioni saa 10 kama timu hizo zipo nje ya Dar es Salaam au zinacheza saa 1 usiku Kama zipo Dar. Wakati timu hizi zinacheza michezo yake wakati huo kuna timu zinacheza saa 8 mchana!
Kupishana kwa muda ni sawa labda kwa sababu za ukosefu wa viwanja, haki za matangazo n.k Sasa kwa joto na jua Kali hasa kwa kipindi hiki ni haki timu hzo kucheza saa 8 mchana?
Mbona Simba na Yanga hawachezi saa 8mchana?
Timu zinazocheza saa 8 mchana Zinatendewa haki afya za wachezaji na kimatokeo?
Bodi ya ligi ili HALIKO SAWA HATA KIDOGO.
Naomba kuwasilisha