ruhi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 3,733
- 5,399
Kumekua na mada mbalimbali hapa juu ya ubora wa vyuo na ubora wa output vyao bila ya kuwepo na mjadala wa chanzo na suluhisho ya nini kifanyike.Napenda kuwasii sana wanajf tuachane na mada kama izi umu,kwani tunashindwa kujibu swali la kwa nini nchi ya KENYA inatoa wasomi wengi na wenye uwezo mkubwa kuliko TANZANIA,licha ya wao kutumia mfumo wa 1-8-4-4/5(awali-primary-sekondari-chuo kikuu) na sisi TZ tunatumia mfumo wa 1-7-4-2-3/4/5(awali-primary-ordinarisekondari-advancedsekondari-chuo kikuu),tunajikita na kusema chuo kukuu cha udsm ni bora kuliko vingine bila kutaja vigezo tunaozotumia ,je tunatumia vigezo vya mwaka wa kuanzishwa?,waadhiri waliopo?,miundombinu(majengo,barabara ndani ya chuo,vifaa vya kufundishia)?,wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga na chuo?,chuo ni cha serikali?,kuwajibika kwa waadhiri pamoja na wanafunzi? au tunaangalia wahitimu wa chuo bila kuangalia mwaka wa kuhitimu kwao?,je tunaangalia mchango wa chuo kwa jamii kwa ujumla?.Nadhain tukijadili kwa kuangalia mambo hapo juu twaweza kujua nini cha kufanya kama sisi vijana tunaotaka kuleta mageuzi hapa nchini.kwa kudokeza tu miaka ya nyuma uko miaka ya 70 udsm wanafunzi walishawai kuandamana kupinga kitendo cha bendera kupepea nusumlingoti uko MSUMBIJI kisa URENO kama koloni lao limefiwa na kiongozi wao ungali MSUMBIJI ikiwa nchi huru,je kwa sasa wanaandamana kwa kudai vitu gani? mkopo au? au kutetea wananchi?
Wakati nchi ya KENYA na UGANDA wanaeshimu vyuo vyote na kuhimiza wanafunzi kusoma kwa bidii sisi tunabaguana kivyuo bila kuangalia elimu tunaopata,je kwa nini kenya ilitoa vyuo viwili kwa mwezi wa saba kwenye ubora wa vyuo vikuu afrika na sisi tukatoa moja.
Watu hawaangalii madhara ya kudharau vyuo vingine kwani wanafunzi wanaopewa sifa ya kusoma vyuo bora kuna madhara ya wao kufanya vibaya kwa kutosoma kwa bidii sana,na wale wa vyuo visivyo na ubora nao wakakata tamaa ya kusoma na mwisho taifa likapata msiba,nawaomba sana wanafunzi mnaoenda kuanza mwaka wa kwanza 2012/2013 msipende sana kujazwa sifa zisizo na maana,kwani mnajuana toka primary,secondary,high level.
Hamjiulizi ni kwa nini wanaojisajili kusoma Phd UDSM hawamalizi vizuri na hawana uhakika wa kumalizia thesis zao,na wanaograduate masters upande wa sayansi wanazidi kupungua tu,UDSM nao bado kuna parttime lectures,bora UDOM ijengwe bila siasa inaweza kuokoa elimu ya TZ.
NAOMBA KUWASILISHA
Wakati nchi ya KENYA na UGANDA wanaeshimu vyuo vyote na kuhimiza wanafunzi kusoma kwa bidii sisi tunabaguana kivyuo bila kuangalia elimu tunaopata,je kwa nini kenya ilitoa vyuo viwili kwa mwezi wa saba kwenye ubora wa vyuo vikuu afrika na sisi tukatoa moja.
Watu hawaangalii madhara ya kudharau vyuo vingine kwani wanafunzi wanaopewa sifa ya kusoma vyuo bora kuna madhara ya wao kufanya vibaya kwa kutosoma kwa bidii sana,na wale wa vyuo visivyo na ubora nao wakakata tamaa ya kusoma na mwisho taifa likapata msiba,nawaomba sana wanafunzi mnaoenda kuanza mwaka wa kwanza 2012/2013 msipende sana kujazwa sifa zisizo na maana,kwani mnajuana toka primary,secondary,high level.
Hamjiulizi ni kwa nini wanaojisajili kusoma Phd UDSM hawamalizi vizuri na hawana uhakika wa kumalizia thesis zao,na wanaograduate masters upande wa sayansi wanazidi kupungua tu,UDSM nao bado kuna parttime lectures,bora UDOM ijengwe bila siasa inaweza kuokoa elimu ya TZ.
NAOMBA KUWASILISHA