kwa hili wana udsm wanao ishi mabibo hostel mnakosea

oldd vampire

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
253
52
sawa umeme ni tatizo sana na linakera sana haswa kipindi hiki cha mitihani..lakini kitendo mlicho kifanya jana sio cha busara..yana kupiga kelele kwenye mablock wakati wenzenu wanasoma..mnaleta vurugu zisizo na msingi wowote.hapo hapo mwajiita intellectuals.hivi ni uintellectual gan huo?eti kugomea umeme inamana chuo hapa dar ni udsm peke ake?pia kama kugomea umeme kama mwataka nenden tanesco lakni sio kupga kelele..katika mablock ya wenzenu....ushauri tuu nunueni mishumaa au muda wa mchana someni...hakuna asie kereka na umeme llakini kupiga kwa kupiga kelele au kupiga vimbweta ndo solution?yani we are fighting with a wrong enemy.....sory kama ntakua nimewaboa ila jirekebisheni
 
sawa umeme ni tatizo sana na linakera sana haswa kipindi hiki cha mitihani..lakini kitendo mlicho kifanya jana sio cha busara..yana kupiga kelele kwenye mablock wakati wenzenu wanasoma..mnaleta vurugu zisizo na msingi wowote.hapo hapo mwajiita intellectuals.hivi ni uintellectual gan huo?eti kugomea umeme inamana chuo hapa dar ni udsm peke ake?pia kama kugomea umeme kama mwataka nenden tanesco lakni sio kupga kelele..katika mablock ya wenzenu....ushauri tuu nunueni mishumaa au muda wa mchana someni...hakuna asie kereka na umeme llakini kupiga kwa kupiga kelele au kupiga vimbweta ndo solution?yani we are fighting with a wrong enemy.....sory kama ntakua nimewaboa ila jirekebisheni
hata ikiwa umewaboa huna haja ya kuomba msamaha,, kwa hiyo walivyopiga hayo makelele umeme ulirudi?
 
Leo nilisikia radion east africa, kna ambao walienda kusomea pale mandela road, et kisa hostel hamna hvyo wakachukuana kusomea na taa za barabaran. Sijui kunaukwel na hii taarifa?
 
walikua wanapiga kelele hapa hostel haswa kwenye mablock ya wasichana na wengi wao watakua ni 1st na 2nd year sidhan kama finalist yoyote anaeza fanya ujinga kama huo...na wamepiga but umeme umekuja rudi leo sa moja hivi kaka......kuhusu kusomea mandela road sijapata ukweli wowote mkuu so siwezi sema chochote hapo....
 
walikua wanapiga kelele hapa hostel haswa kwenye mablock ya wasichana na wengi wao watakua ni 1st na 2nd year sidhan kama finalist yoyote anaeza fanya ujinga kama huo...na wamepiga but umeme umekuja rudi leo sa moja hivi kaka......kuhusu kusomea mandela road sijapata ukweli wowote mkuu so siwezi sema chochote hapo....
saa ngapi hyo maana me mwenyewe naish mabibo bt cjaskia k2 kama hcho mkuu?
 
huu ulikuwa ni mgomo wa wanafunzi wote, hao walio kuwa wanasoma ni wasariti na ni watu wasiozijua haki zao, umeme ulikatika bila taarifa, na vile vile magenerator yapo lakini hakuna kauli yoyote iliyotolewa na yeyote yule
 
hizo ni second hand informations, napenda kukupa pole kwani umepotoshwa vibaya mno
 
walikua wanapiga kelele hapa hostel haswa kwenye mablock ya wasichana na wengi wao watakua ni 1st na 2nd year sidhan kama finalist yoyote anaeza fanya ujinga kama huo...na wamepiga but umeme umekuja rudi leo sa moja hivi kaka......kuhusu kusomea mandela road sijapata ukweli wowote mkuu so siwezi sema chochote hapo....

ni kwel walpga kelele but inaonekana huna taarifa kuhusiana na hlo kwan umeme ulirud xaa sita na robo kijana na sio saa 1 kama usemavyo,.. Though cjapendezewa na hlo la kelele
 
sawa umeme ni tatizo sana na linakera sana haswa kipindi hiki cha mitihani..lakini kitendo mlicho kifanya jana sio cha busara..yana kupiga kelele kwenye mablock wakati wenzenu wanasoma..mnaleta vurugu zisizo na msingi wowote.hapo hapo mwajiita intellectuals.hivi ni uintellectual gan huo?eti kugomea umeme inamana chuo hapa dar ni udsm peke ake?pia kama kugomea umeme kama mwataka nenden tanesco lakni sio kupga kelele..katika mablock ya wenzenu....ushauri tuu nunueni mishumaa au muda wa mchana someni...hakuna asie kereka na umeme llakini kupiga kwa kupiga kelele au kupiga vimbweta ndo solution?yani we are fighting with a wrong enemy.....sory kama ntakua nimewaboa ila jirekebisheni

kua na akili ww utaxoma bila umeme wakat notice tulizonazo ni soft copy,unapgiwa kelele ulikua na raha gan yakuxoma wakat wenzio wanadai haki yao pia unadhihilisha ww ni msalit na mbinafsi
 
sidhani kama hata unacho kiongelea unakijua...sasa wengine wanasoma wapi na umeme upi??? nyie ndo vikwazo humu nchini nyie...yani masaa 35 bila umeme eti transfoma mbovu,mbona tumeingi roading tu within 15 minutes wameleta..walichokua wanasubiri nn...

tanesco chezeeni hukooo mkija kwetu na siasa tunafanya action.....

kumbuka;umeme ukikata mabibo kwa35hrs na maji hayatoki pia....
 
Back
Top Bottom