Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,099
- 4,353
Kweli watu hawapaswi kuishi mabondeni sawa,basi wafanyieni hata kampango cha kuwasitiri jamani.
Kweri inasikitisha kwa hali ya kibinadamu,usisikie ukose pa kwenda,mfano wew just imagine ungelikwenda wapi?????mwisho wa siku bado ni raia na wazawa wa hapahap.
Leo hiii haipendezi mkimbizi toka Burundi huthaminiwa kuliko mzawa.
WATANZANIA SOTE NI NDUGU,WEMA WAWASAIDIE PA KUFIKIA,KWA HILO TU
Kweri inasikitisha kwa hali ya kibinadamu,usisikie ukose pa kwenda,mfano wew just imagine ungelikwenda wapi?????mwisho wa siku bado ni raia na wazawa wa hapahap.
Leo hiii haipendezi mkimbizi toka Burundi huthaminiwa kuliko mzawa.
WATANZANIA SOTE NI NDUGU,WEMA WAWASAIDIE PA KUFIKIA,KWA HILO TU