Kwa hili sikai kimya watazoea

Kwa hili sikai kimya watazoea

Hamiduiddy

Member
Joined
Jul 16, 2017
Posts
17
Reaction score
6
Kwanza niombe samahani kwa hili maana wamezidi hawa watu wasio jielewa, hv ni kwa nn baadhi ya watu wanapenda kuwavurugia watu siku zao kwann watu wanapenda kucoment ujinga, Matusi, dharau kwenye post za watu hiv hii inaletwa na nn hasa mtu anapost vitu vyake ww unatoa povu kwani alikuwandikia ww si ufanye mambo yako mengine mbona mnakosa kujiheshimu lakin, au hii page baba zenu wanashea ni ujinga kabisa, heshimu mawazo ya mtu hukumpa bando ww ukiona haikuhusu pita kushoto

Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
 
Nahisi kutokujielewa na childish behavour ndio husumbua

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Ndivyo jamii zetu zilivyo, hata katika mambo mengine ya maisha ndivyo tulivyo, ukiwa kwenye forums zingine hutaona mambo ya namna hii.
 
Kwanza niombe samahani kwa hili maana wamezidi hawa watu wasio jielewa, hv ni kwa nn baadhi ya watu wanapenda kuwavurugia watu siku zao kwann watu wanapenda kucoment ujinga, Matusi, dharau kwenye post za watu hiv hii inaletwa na nn hasa mtu anapost vitu vyake ww unatoa povu kwani alikuwandikia ww si ufanye mambo yako mengine mbona mnakosa kujiheshimu lakin, au hii page baba zenu wanashea ni ujinga kabisa, heshimu mawazo ya mtu hukumpa bando ww ukiona haikuhusu pita kushoto

Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app

Kwanza na mimi niombe samahani pia, sio kwamba naipenda ama naitetea hii tabia ya matusi LA HASHA ila kama unapost lolote humu jukwaani au popote pale kwenye hii mitandao pendwa ya kijamii na kuna aina "FULANI" ya majibu ama comment ndo unazitarajia basi nadhani social media is not your place tafuata sehemu nyingine ya kupata aina hiyo ya majibu na sio katika platform hizi za mitandao ya kijamii...

Kama ulivyotoa rai ya kuheshimu mawazo ya mtu basi keep in mimd pia hayo "MATUSI" ama lugha chafu ni mawazao ya mtu japo mchafu kiakili piahivyo unapaswa kuyaheshimu pia..
 
Pole sana ndo naama kukatumika id feki utajichosha mwenyewe. Ukute aliyekuboa ni mtu umri wa baba yako au hata baba yako wewe uko busy ba kupost kisa umekereka zoea tu
 
Back
Top Bottom