PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,178
Ndugu wana JF,
Wenzangu na wanachama wa CHADEMA wapenzi na washabiki nawapa pole kwa tukio na msiba wa wenzetu walio poteza maisha yao,jana Soweto Kaloleni, nilishngazwa na jeshi la polisi kwa kitendo chao cha kuwapiga watu mabomu na risasi za moto, nilijiuliza maswali haya; [1]kulikua na ulazima gani jeshi la polisi kupiga mabomu watu na risasi za moto kutumika
[2]nimepata mashaka labda jeshi la polisi lilitaka kufanikisha mtuhumiwa atoroke bila kukamatwa
[3]ilitakiwa jeshi la polisi lishirikiane na wananchi kufanikisha kumkamata mtuhumiwa kama walivyo fanya kule Olasite, sasa tunapata mashaka kwamba jambo hili lilipangwa, naomba tutafakari pamoja wana JF wenzangu juhu ya jambo hili la jana naomba michango yenu,
Wenzangu na wanachama wa CHADEMA wapenzi na washabiki nawapa pole kwa tukio na msiba wa wenzetu walio poteza maisha yao,jana Soweto Kaloleni, nilishngazwa na jeshi la polisi kwa kitendo chao cha kuwapiga watu mabomu na risasi za moto, nilijiuliza maswali haya; [1]kulikua na ulazima gani jeshi la polisi kupiga mabomu watu na risasi za moto kutumika
[2]nimepata mashaka labda jeshi la polisi lilitaka kufanikisha mtuhumiwa atoroke bila kukamatwa
[3]ilitakiwa jeshi la polisi lishirikiane na wananchi kufanikisha kumkamata mtuhumiwa kama walivyo fanya kule Olasite, sasa tunapata mashaka kwamba jambo hili lilipangwa, naomba tutafakari pamoja wana JF wenzangu juhu ya jambo hili la jana naomba michango yenu,