songo mwene
Member
- Jan 12, 2014
- 90
- 97
Mheshimiwa Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kamwe hatayumbishwa kwa lolote na ataendelea kuchukua hatua kali kwa watendaji wasio waaminifu na ameahidi kusimamia maslahi ya wananchi na atahakikisha anasimama na WANANCHI hayo ameyasema akiwa Bandari ya Dar ea salaam TPA.
Katika hatua nyingine amevunja bodi zote mbili ambazo ni bodi ya Meli na TPA.
Pia amesema Kuna ufisadi ulifanyika huko nyuma na Sasa wanaungushia lawama serikali ya awamu ya Sita, ameapa kupambana nao bila kumuonea aibu mtu yeyote.
Mh Rais hongera kwa kulitambua hilo na mimi naomba uendelee kuchukua hatua kali na ikipidi wafikishwe kwenye mahakama ya mafisadi, mafisadi ni watu hatari Sana kwa uchumi wa NCHI yetu, bila hatua kali kuchukuliwa wataendelea kutamba na kula fedha za walipa kodi,
#SSH
KAZI IENDELEE
Katika hatua nyingine amevunja bodi zote mbili ambazo ni bodi ya Meli na TPA.
Pia amesema Kuna ufisadi ulifanyika huko nyuma na Sasa wanaungushia lawama serikali ya awamu ya Sita, ameapa kupambana nao bila kumuonea aibu mtu yeyote.
Mh Rais hongera kwa kulitambua hilo na mimi naomba uendelee kuchukua hatua kali na ikipidi wafikishwe kwenye mahakama ya mafisadi, mafisadi ni watu hatari Sana kwa uchumi wa NCHI yetu, bila hatua kali kuchukuliwa wataendelea kutamba na kula fedha za walipa kodi,
#SSH
KAZI IENDELEE