Kwa hili,nakubaliana na Mbunge Livingstone Lusinde (Kibajaji)

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,197
25,517
Wakati akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa mwaka 2017/2018,Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde (CCM) alibainisha tatizo kubwa la kiuchumi Tanzania.

Mbunge Lusinde alisema kuwa tatizo kubwa ni kuwa ukuaji wa uchumi wa kwenye karatasi hauakisi ukuaji wa uchumi katika hali halisi na maisha ya wananchi. Lusinde amesema hali ya maisha inazidi kuwa ngumu tofauti na takwimu zinazotolewa.

Lusinde aliitaka Wizara ya Fedha na Mipango chini ya Waziri wake Dr. Phillip Mpango ifanye kila linalowezekana kuhusianisha uchumi wa kwenye karatasi na ule wa kwenye maisha halisi ya watu. Kimsingi,naunga mkono hoja hii. Wananchi,kutokana na maisha yao,huwa hawaelewi wanaposomewa kuwa uchumi unapaa.
 
It's all about hypocrisy, kwa nini hawakujitokeza kupinga kauli za Beno Ndulu kuwa uchumi unapaa, wakati unapaa kwenye makaratasi huku mtaani watu tunalia shida kila kukicha.
 
Wakati akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa mwaka 2017/2018,Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde (CCM) alibainisha tatizo kubwa la kiuchumi Tanzania.

Mbunge Lusinde alisema kuwa tatizo kubwa ni kuwa ukuaji wa uchumi wa kwenye karatasi hauakisi ukuaji wa uchumi katika hali halisi na maisha ya wananchi. Lusinde amesema hali ya maisha inazidi kuwa ngumu tofauti na takwimu zinazotolewa.

Lusinde aliitaka Wizara ya Fedha na Mipango chini ya Waziri wake Dr. Phillip Mpango ifanye kila linalowezekana kuhusianisha uchumi wa kwenye karatasi na ule wa kwenye maisha halisi ya watu. Kimsingi,naunga mkono hoja hii. Wananchi,kutokana na maisha yao,huwa hawaelewi wanaposomewa kuwa uchumi unapaa.
Mkuu hata siku moja usiamini akili za waCCM mpe muda huyo Lusinde akianza kutumia zile milioni 10 hutamwelewa jinsi atakavyosifu serikali hii its just the matter of time
 
Wakati akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa mwaka 2017/2018,Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde (CCM) alibainisha tatizo kubwa la kiuchumi Tanzania.

Mbunge Lusinde alisema kuwa tatizo kubwa ni kuwa ukuaji wa uchumi wa kwenye karatasi hauakisi ukuaji wa uchumi katika hali halisi na maisha ya wananchi. Lusinde amesema hali ya maisha inazidi kuwa ngumu tofauti na takwimu zinazotolewa.

Lusinde aliitaka Wizara ya Fedha na Mipango chini ya Waziri wake Dr. Phillip Mpango ifanye kila linalowezekana kuhusianisha uchumi wa kwenye karatasi na ule wa kwenye maisha halisi ya watu. Kimsingi,naunga mkono hoja hii. Wananchi,kutokana na maisha yao,huwa hawaelewi wanaposomewa kuwa uchumi unapaa.
Umeamua tu kumuunga mkono, hiyo kauli kairudia tu imekuwa ikitolewa na watu mbalimbali toka tulipoanza kuambiwa uchumi unakua
 
hivi milioni kumi ni hela katika uchumi wa Tanzania ambao inflation inapaa wakuu. uchumi sio siasa kusema kwamba utaka udanganye . nawapa mwaka mmoja tu bila kubadili hizi sera mbovu. project zitakuwa kaa la moto.
 
Back
Top Bottom