Kwa hili la wadogo zetu wa UDOM, sikuielewa serikali

gilmanywele

Member
Aug 17, 2015
53
15
Moja ya mambo ambayo naona maamuzi yake hayakuridhisha ni suala la hawa wadogo zetu wa UDOM. Hivi ilishindikana nini kuruhusu hao wanafunzi kumaliza masomo yao ila wakazuia usajili mpya wa wanafunzi hao kuanzia mwaka huu..!?
Sidhani kama mwanafunzi aliyepata division one-three O'level ambako alikuwa na masomo mengi zaidi, kwamba akifundishwa masomo mawili au matatu kwa miaka mitatu ya Diploma atashindwa kufundisha wadogo zake wa kidato cha kwanza hadi cha nne. Maana hata walioenda A'level kwa miaka miwili bado wamekuwa wakisaidia ufundishaji japo baadhi hupungukiwa kiasi skills za ufundishaji tofauti na hawa wa diploma.
Au serikali inakwepa "mzigo" kuambiwa baadaye kuwaajiri na ilhali bado kuna walimu wengine hawajaajiriwa?

Ambao walikuwa na division four inakisiwa idadi yao kuwa 88. Sasa hawa ni wachache mno kati ya wanafunzi wote. Sidhani kwamba wengi wa wanafunzi waliopata division one na two walienda kwenye diploma hii. Inammanisha division three ndio wengi. Sasa, wangeamua kuendelea na masomo ya A'level, shule zetu zilikuwa na uwezo wa kuwamudu kwa idadi yao!?

Mara fedha ndo tatizo. Ndio nini sasa hiyo?. Pamoja na juhudi kubwa za kuzuia matumizi yasiyo ya lazima, ni dhahiri serikali ina fedha za kumudu malipo hayo. Fedha kisiwe kigezo cha kutowalipa walimu ikizingatiwa fedha hizo zilikuwepo katika bajeti ya serikali kwa mwaka uliopita. La kujiuliza ni hili; hizo fedha zilienda wapi hadi walimu wa hao wadogo zetu wakaingia katika migogoro?

Sikuielewa serikali hii kwa kweli.
 
awamu hii imekuja na mambo ya kitofaut meng sana, ambayo yanawaumiza watu weng nchin. Kwan serikal imekua haijal matatzo hayo.
Kufukuza wanafunz alaf kukaa kimya kama ujui kilichotokea c jambo zur.
Serikal inatakiwa ituelezee kwa kina juu ya jambo hil na baadà ya kufukuza watarud au kuna utaratibu mwengne.
Sabab hiz mbwembwe zakutaka kuonekana kwenye media kuwa unafanya kaz zitakuja kuleta madhara baadae ila ya kufikirika.
Asante kwa mchango ni hayo tu bal nna hasira
 
Hao madogo walikuwa ni wa mwaka wa kwanza na waliokuwa mwaka wapili. Tatizo kubwa ni kwamba waalim wao walikuwa wanafadhiliwa na world bank ambapo huo msaada ulitolewa kipind cha jk. Sasa baada ya ish ya uchaguz wa zanzibar ambapo wahisan walijitoa ikiwemo world bank, sasa ule mzigo wakuwalipia wanafunz ukarudi serekalini na serikali ikawawia vigumu kuwalipia na kuwapa fedha za kujikimu sasa ambaz wale wanafudhi walikuwa wanapewa moja kwa moja na sio kwamba ni mkopo kama ilivyo kwa wanafunzi wa shahada. Tatizo lilianza pale ambapo waalimu wao waligima kufundisha baada ya serikal kupitia chuo kutaka kuwalipa posho ambaz zilikuwa ni ndogo ukilinganisha na zle ambazo walikuwa wanapewa na world bank. Sasa swala likawa gumu kupatiwa suluhisho huku wanafunz nao pesa yao ya kujikim wakiipata kwa kucheleweshwaaa.
 
Hao madogo walikuwa ni wa mwaka wa kwanza na waliokuwa mwaka wapili. Tatizo kubwa ni kwamba waalim wao walikuwa wanafadhiliwa na world bank ambapo huo msaada ulitolewa kipind cha jk. Sasa baada ya ish ya uchaguz wa zanzibar ambapo wahisan walijitoa ikiwemo world bank, sasa ule mzigo wakuwalipia wanafunz ukarudi serekalini na serikali ikawawia vigumu kuwalipia na kuwapa fedha za kujikimu sasa ambaz wale wanafudhi walikuwa wanapewa moja kwa moja na sio kwamba ni mkopo kama ilivyo kwa wanafunzi wa shahada. Tatizo lilianza pale ambapo waalimu wao waligima kufundisha baada ya serikal kupitia chuo kutaka kuwalipa posho ambaz zilikuwa ni ndogo ukilinganisha na zle ambazo walikuwa wanapewa na world bank. Sasa swala likawa gumu kupatiwa suluhisho huku wanafunz nao pesa yao ya kujikim wakiipata kwa kucheleweshwaaa.
Umeeleweka lakini hatima Yao nini
 
Fuh
Hao madogo walikuwa ni wa mwaka wa kwanza na waliokuwa mwaka wapili. Tatizo kubwa ni kwamba waalim wao walikuwa wanafadhiliwa na world bank ambapo huo msaada ulitolewa kipind cha jk. Sasa baada ya ish ya uchaguz wa zanzibar ambapo wahisan walijitoa ikiwemo world bank, sasa ule mzigo wakuwalipia wanafunz ukarudi serekalini na serikali ikawawia vigumu kuwalipia na kuwapa fedha za kujikimu sasa ambaz wale wanafudhi walikuwa wanapewa moja kwa moja na sio kwamba ni mkopo kama ilivyo kwa wanafunzi wa shahada. Tatizo lilianza pale ambapo waalimu wao waligima kufundisha baada ya serikal kupitia chuo kutaka kuwalipa posho ambaz zilikuwa ni ndogo ukilinganisha na zle ambazo walikuwa wanapewa na world bank. Sasa swala likawa gumu kupatiwa suluhisho huku wanafunz nao pesa yao ya kujikim wakiipata kwa kucheleweshwaaa.
Duh, kumbe kweli bado tunahitaji msaada kutoka nje hata kama tu maskini jeuri.
 
Hao madogo walikuwa ni wa mwaka wa kwanza na waliokuwa mwaka wapili. Tatizo kubwa ni kwamba waalim wao walikuwa wanafadhiliwa na world bank ambapo huo msaada ulitolewa kipind cha jk. Sasa baada ya ish ya uchaguz wa zanzibar ambapo wahisan walijitoa ikiwemo world bank, sasa ule mzigo wakuwalipia wanafunz ukarudi serekalini na serikali ikawawia vigumu kuwalipia na kuwapa fedha za kujikimu sasa ambaz wale wanafudhi walikuwa wanapewa moja kwa moja na sio kwamba ni mkopo kama ilivyo kwa wanafunzi wa shahada. Tatizo lilianza pale ambapo waalimu wao waligima kufundisha baada ya serikal kupitia chuo kutaka kuwalipa posho ambaz zilikuwa ni ndogo ukilinganisha na zle ambazo walikuwa wanapewa na world bank. Sasa swala likawa gumu kupatiwa suluhisho huku wanafunz nao pesa yao ya kujikim wakiipata kwa kucheleweshwaaa.
Inawezekana Kuwa Hapa Umeongea Point.
 
Moja ya mambo ambayo naona maamuzi yake hayakuridhisha ni suala la hawa wadogo zetu wa UDOM. Hivi ilishindikana nini kuruhusu hao wanafunzi kumaliza masomo yao ila wakazuia usajili mpya wa wanafunzi hao kuanzia mwaka huu..!?
Sidhani kama mwanafunzi aliyepata division one-three O'level ambako alikuwa na masomo mengi zaidi, kwamba akifundishwa masomo mawili au matatu kwa miaka mitatu ya Diploma atashindwa kufundisha wadogo zake wa kidato cha kwanza hadi cha nne. Maana hata walioenda A'level kwa miaka miwili bado wamekuwa wakisaidia ufundishaji japo baadhi hupungukiwa kiasi skills za ufundishaji tofauti na hawa wa diploma.
Au serikali inakwepa "mzigo" kuambiwa baadaye kuwaajiri na ilhali bado kuna walimu wengine hawajaajiriwa?

Ambao walikuwa na division four inakisiwa idadi yao kuwa 88. Sasa hawa ni wachache mno kati ya wanafunzi wote. Sidhani kwamba wengi wa wanafunzi waliopata division one na two walienda kwenye diploma hii. Inammanisha division three ndio wengi. Sasa, wangeamua kuendelea na masomo ya A'level, shule zetu zilikuwa na uwezo wa kuwamudu kwa idadi yao!?

Mara fedha ndo tatizo. Ndio nini sasa hiyo?. Pamoja na juhudi kubwa za kuzuia matumizi yasiyo ya lazima, ni dhahiri serikali ina fedha za kumudu malipo hayo. Fedha kisiwe kigezo cha kutowalipa walimu ikizingatiwa fedha hizo zilikuwepo katika bajeti ya serikali kwa mwaka uliopita. La kujiuliza ni hili; hizo fedha zilienda wapi hadi walimu wa hao wadogo zetu wakaingia katika migogoro?

Sikuielewa serikali hii kwa kweli.
msikilize pia na prof. Ndalichako, alitolea ufafanuzi mzuri kwenye kipindi cha dk 45 ITV. Tafuta taarifa kamili, epuka "inakisiwa", "inaonekana", "inawezekana" nk
 
Tatzo apo atujajua cku ya kurud kwao kwan ilbakia miez miwil tu wamalizie alaf wafinge.
Kama hela ndio tatxo c wazungumze ukwel kuliko kujikanyaga kanyaga
 
Sasa hapo hujaelewa nini?
Wazingumzee ukwel wakat wanajua madudu waliyoyafanya zanzibar ndo yamesababisha. Wale hawawez kurud maana hawana mfadhili serikal ndo imejitoa kiaina hivyo. Na maskun ya mung wengine walikuwa mwaka wapili wameshasoma mwanza mzima wakwanza chuon
 
Nchi yetu hii siasa hadi ktk elimu ila baada ya muda tutaona madhara ya haya yote subirin miaka kadhaa.
 
Back
Top Bottom