CHADEMA wanaweza kuendelea kuhangaika na watu ndani ya CCM. Sio vibaya na hasa inapokuwa ni mwaka wa uchaguzi. Baadhi tulitaka watuambie sera mbadala wa hizi za CCM kwenye mambo yanayowagusa mojakwamoja Watanzania kwa mfano:
-Huduma za jamii.
-Ugharamiaji wa SIASA na WANASIASA.
-Uchumi, uwekezaji, uwezeshaji, uondoaji umasikini wa watu na nchi yetu.
-Mapato, matumizi ya fedha na rasilmali za NCHI.
Na mengine mengi.