change is must
Member
- Aug 1, 2012
- 38
- 5
Kitendo cha mahakama kuu kanda ya Tabora kutoa hukumu ya kutengua ushindi wa ubunge - Dr. kafumu jana
kimeonyesha tabia mbaya ya CCM kuiba kura katika kushinda kwake. Binafsi naamini hata CDM wangepeleka mahakamani ushindi wa JK lazima angepigwa chini. Hakika hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho. Mwisho wa ccm uko ICU.:flypig::A S 103:
kimeonyesha tabia mbaya ya CCM kuiba kura katika kushinda kwake. Binafsi naamini hata CDM wangepeleka mahakamani ushindi wa JK lazima angepigwa chini. Hakika hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho. Mwisho wa ccm uko ICU.:flypig::A S 103: