Ccm mmejifungia dodoma kufuta vipengele muhimu vya rasimu ya katiba nasema nyinyi ccm tutawaadhibu kama sio ninyi basi watoto wenu.
mmefuta ibara ya maadili ya viongozi ili ufisadi uendelee,mmefuta ibara ya madaraka ya wananchi,mmefuta ibara inayotenganisha madaraka ya bunge na serikali.
mmefuta ibara ya maadili ya viongozi ili ufisadi uendelee,mmefuta ibara ya madaraka ya wananchi,mmefuta ibara inayotenganisha madaraka ya bunge na serikali.