silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,161
- 1,540
Yaani mtu anasema anawashwa, halafu tena anamwambia bwana wake apake vumbi la Kongo.
Ina maana wasanii wetu upeo wao ni kwenye ngono tu, hawawezi kuimba kitu chengine. Mashairi kama ya kina Darasa, au kina Ferouz au kina Profesa Jay ndo yamepotea kabisa.
Ina maana wasanii wetu upeo wao ni kwenye ngono tu, hawawezi kuimba kitu chengine. Mashairi kama ya kina Darasa, au kina Ferouz au kina Profesa Jay ndo yamepotea kabisa.