Kwa hii tabia ya wanawake ku pretend b4 marriagge tufanyaje?

feeeeez

Member
Jun 20, 2012
8
5
Nimeshuhudia mara nyingi sana kwa ndugu ana marafiki zangu wanapoamua kuoa,vile ambavyo tabia halisi ya mwanamke inakuwa imefichwa anapretend kuwa ni mnyenykevu sana,mwenye upendo ila akishaolewa na kuingia ndani ni noma. Nina nduguyangu ambaye baada ya kuoa ndipo tulipotambua kuwa shemeji yetu ni mchoyo ana ubinafsi, m2 wa maneno mengi wafanyakazi wanakimbia -hebu tusaidiane wataalamu wa saikolojia ya tabia je? kuna namna unaweza kutambua kuwa hapa m2 (mtalajiwa) anapretend tu .vilevile wawezaje kujua mwanamke mbinfsi anayepretend kuwa mwema.
 
wanawake wengi wenye ndoa sijui wana mapepo?
kuna mwanamke mwingine ndani ya nyumba ukienda hupewi hata maji ya kunywa..hata karibu ya uongo..ukarimu ni ziro kabisa... huwa nashangaa sana hata mimi....
 
Nimeshuhudia mara nyingi sana kwa ndugu ana marafiki zangu wanapoamua kuoa,vile ambavyo tabia halisi ya mwanamke inakuwa imefichwa anapretend kuwa ni mnyenykevu sana,mwenye upendo ila akishaolewa na kuingia ndani ni noma. Nina nduguyangu ambaye baada ya kuoa ndipo tulipotambua kuwa shemeji yetu ni mchoyo ana ubinafsi, m2 wa maneno mengi wafanyakazi wanakimbia -hebu tusaidiane wataalamu wa saikolojia ya tabia je? kuna namna unaweza kutambua kuwa hapa m2 (mtalajiwa) anapretend tu .vilevile wawezaje kujua mwanamke mbinfsi anayepretend kuwa mwema.

Ni ngumu katika hali ya kawaida, labda uingie kwenye mahusiano naye ya karibu sana kwa muda mrefu au kupata taarifa indirectly kupitia watu wanaoishi naye au waliomfahamu kwa muda mrefu. Kupata taarifa kwa njia hii kuna madhara yake ikiwepo kupewa taarifa zisizo sahihi (biased), Exaggeration, na hata siri ambazo zinaweza kukukatisha tamaa ya kuendelea nae.
Ni vizuri kuomba Mungu akuongoze kumpata mtarajiwa wa kufanana nawe kitabia, kuliko kulemea kwenye akili ya kibinadamu pekee!
 
Nimeshuhudia mara nyingi sana kwa ndugu ana marafiki zangu wanapoamua kuoa,vile ambavyo tabia halisi ya mwanamke inakuwa imefichwa anapretend kuwa ni mnyenykevu sana,mwenye upendo ila akishaolewa na kuingia ndani ni noma. Nina nduguyangu ambaye baada ya kuoa ndipo tulipotambua kuwa shemeji yetu ni mchoyo ana ubinafsi, m2 wa maneno mengi wafanyakazi wanakimbia -hebu tusaidiane wataalamu wa saikolojia ya tabia je? kuna namna unaweza kutambua kuwa hapa m2 (mtalajiwa) anapretend tu .vilevile wawezaje kujua mwanamke mbinfsi anayepretend kuwa mwema.

Angalia sana hapo kwenye red, usije ukawa unatumiwa na shetani kuharibu familia ya ndugu yako!!Shauri yako
 
Mimi siwalaumu sana ingawaje inakera. Mwanamke anapopata full control au mamlaka anapenda aonekane kama anaweza na anajitahidi (kwa mawazo yake) kutengeneza mazingira ya kuonekana na kubana matumizi. wengi wanaamini kwamba akina baba ni wepesi kutoa.
 
Nimeshuhudia mara nyingi sana kwa ndugu ana marafiki zangu wanapoamua kuoa,vile ambavyo tabia halisi ya mwanamke inakuwa imefichwa anapretend kuwa ni mnyenykevu sana,mwenye upendo ila akishaolewa na kuingia ndani ni noma. Nina nduguyangu ambaye baada ya kuoa ndipo tulipotambua kuwa shemeji yetu ni mchoyo ana ubinafsi, m2 wa maneno mengi wafanyakazi wanakimbia -hebu tusaidiane wataalamu wa saikolojia ya tabia je? kuna namna unaweza kutambua kuwa hapa m2 (mtalajiwa) anapretend tu .vilevile wawezaje kujua mwanamke mbinfsi anayepretend kuwa mwema.

Tatizo watu tukiambiwa tuingie kwenye courtship kabla ya ndoa tuna waza kutoana out na kulewa na kungonoka mpaka tunasahau maana halisi ya uchumba.
Trust me ukikaa na mtu vizuri ikupasavyo kwenye uchumba utamjua tu! hata apretend vipi, tabia sugu za mtu zitakuwa zina popup na yeye anazi suppress ukimsoma vizuri utajua tu....
Kwa mfano kama mbeya atajisahau tu siku ataanza kukueleza habari za umbeya..
Kama namchukia ndugu yako siku wakiwa wote utaona tu anabadilika tofauti na anavyokuwa na wewe...
Kama mchoyo do I need to explain? Utaona tu the way anavyobehave na vitu vyake...
 
Watu wa namna hii wengi wao huwa ni maskini wa nafsi na mafukara. Mwanzo tu wa mahusiano yenu utagundua maisha anayoishi ya kimaskini ndani ya nafsi na ufukara uliokithili.
 
Tabia ya mtu hua haijifichi! Jitahidi kua nae karibu utamjua tu..tatizo lenu mnakutana leo baada ya miezi mi3 mnaoana what do you expect??
 
Nimeshuhudia mara nyingi sana kwa ndugu ana marafiki zangu wanapoamua kuoa,vile ambavyo tabia halisi ya mwanamke inakuwa imefichwa anapretend kuwa ni mnyenykevu sana,mwenye upendo ila akishaolewa na kuingia ndani ni noma. Nina nduguyangu ambaye baada ya kuoa ndipo tulipotambua kuwa shemeji yetu ni mchoyo ana ubinafsi, m2 wa maneno mengi wafanyakazi wanakimbia -hebu tusaidiane wataalamu wa saikolojia ya tabia je? kuna namna unaweza kutambua kuwa hapa m2 (mtalajiwa) anapretend tu .vilevile wawezaje kujua mwanamke mbinfsi anayepretend kuwa mwema.

Hizo ndoa za milele ndio shida yake hiyo. Dawa ni kupiga chini tu hakuna haja ya kuvumiliana. Maisha hayaji mara mbili. Ndio maana ya "We live only once !!!"
 
Da utafikiri umemUona wifi yangu .Kla sentence uliyoandika yani ni yeye tabia zake umepesti hapa kabla hayaolewa tulijua tumepata wifi.lakini do ndani ya mwaka.hata mguu nimekata wa kwenda kwake wafanyakazi ndo usiseme maneno machafu hata kwa mumewe.Da i feel pity for my brother he is so good.
 
Kama unakubali kuwa tabia kwa asilimia kubwa inatokana na malezi...ukitaka kujua tabia ya mkeo mtarajiwa chunguza tabia ya mama yake. Fuatilia kwa majirani zao uliza mama mkwe ana tabia gani...simpo

Nakumbuka mama yangu alimkataza kaka yangu aimwoe dada fulani kwa kuwa kwao though kulikuwa mbali kidogo na kwetu tulikuwa tunapajua na mama alikuwa anamjua mama mzaa chema nje ndani...Mama yake huyu mdada alikuwa na sifa ya kumweka mumewe kiganjani; afurukuti; na ni mke wa kati kati ya wake watatu...hivyo mama yangu alikuwa anasema mama wa huyu dada lazima atakuwa keshamfundisha mwanawe ushirikina.Lol. Hivyo kaka akioa nae asubiri kutengenezwa.


Nimeshuhudia mara nyingi sana kwa ndugu ana marafiki zangu wanapoamua kuoa,vile ambavyo tabia halisi ya mwanamke inakuwa imefichwa anapretend kuwa ni mnyenykevu sana,mwenye upendo ila akishaolewa na kuingia ndani ni noma. Nina nduguyangu ambaye baada ya kuoa ndipo tulipotambua kuwa shemeji yetu ni mchoyo ana ubinafsi, m2 wa maneno mengi wafanyakazi wanakimbia -hebu tusaidiane wataalamu wa saikolojia ya tabia je? kuna namna unaweza kutambua kuwa hapa m2 (mtalajiwa) anapretend tu .vilevile wawezaje kujua mwanamke mbinfsi anayepretend kuwa mwema.
 
Mtoto akikulia mazingira ya mama mchoyo naye atakuwa mchoyo.

Juzi kati nilikuwa nasoma article moja kuhusu tamaduni za wasukuma...imeandikwa na scholar wa nje kwenye journal kubwa tu kama nakumbuka ni ya Cambridge...huyo jamaa amefanya ethnograph usukumani anasema wasukuma wanawaforce watoto wao ku share chakula na majirani ndio maana ni kabila ambalo ni most generous in Tz.

Kama ukarimu ni kigezo kikubwa kwa mke umtakaye...nakushauri ukaoe usukumani. Lol.
 
Kama unakubali kuwa tabia kwa asilimia kubwa inatokana na malezi...ukitaka kujua tabia ya mkeo mtarajiwa chunguza tabia ya mama yake. Fuatilia kwa majirani zao uliza mama mkwe ana tabia gani...simpo

Nakumbuka mama yangu alimkataza kaka yangu aimwoe dada fulani kwa kuwa kwao though kulikuwa mbali kidogo na kwetu tulikuwa tunapajua na mama alikuwa anamjua mama mzaa chema nje ndani...Mama yake huyu mdada alikuwa na sifa ya kumweka mumewe kiganjani; afurukuti; na ni mke wa kati kati ya wake watatu...hivyo mama yangu alikuwa anasema mama wa huyu dada lazima atakuwa keshamfundisha mwanawe ushirikina.Lol. Hivyo kaka akioa nae asubiri kutengenezwa.

Kumbe hata karne hii kuna watu wanaamini haya mambo.

Duh aijuaye mvua imemnyea, na ajuaye ushirikina kuna uwezekano mkubwa kashiriki.

Anyway, asante kwa kujuza.
 
Kama wewe huna hiyo imani kinachokufanya ushukuru ni nini?

Ushirikina upo na kuna watu wana mpaka PhD za research ya mambo ya giza Afika; tena ni wazungu.

Kumbe hata karne hii kuna watu wanaamini haya mambo.

Duh aijuaye mvua imemnyea, na ajuaye ushirikina kuna uwezekano mkubwa kashiriki.

Anyway, asante kwa kujuza.
 
Kama wewe huna hiyo imani kinachokufanya ushukuru ni nini?

Ushirikina upo na kuna watu wana mpaka PhD za research ya mambo ya giza Afika; tena ni wazungu.

kujuza kwamba na wewe ni muumini wa mambo hayo kutokana na mazingira lol. Salamu kwa shemeji.
 
Hivi kujua kuwa kuna watu ni waumini wa Freemason lazima na wewe uwe? Angalia maandishi yako binti. Mimi ni NK kama hunifahamu vizuri. Niko juu na hakuna wa kunishusha... hata uni provoke vipi.
Nina experience na watu kama nyie na wengi wamejaribu wakaishia kushuka wao.

kujuza kwamba na wewe ni muumini wa mambo hayo kutokana na mazingira lol. Salamu kwa shemeji.
 
Hivi kujua kuwa kuna watu ni waumini wa Freemason lazima na wewe uwe? Angalia maandishi yako binti. Mimi ni NK kama hunifahamu vizuri. Niko juu na hakuna wa kunishusha... hata uni provoke vipi.
Nina experience na watu kama nyie na wengi wamejaribu wakaishia kushuka wao.

bwa ha ha haaa. Bahati mbaya siko hapa kufahamu mtu, aliyepanda wala kushuka, aliye juu wala chini.

Ushikwapo shikama na ukizidiwa poa.
 
Yaan nakubali maneno yako,, yaan mtu anaficha makucha yake mpka pale keshaingia ktk ndoa ndio unajua.kuwa si paka kumbe chui
 
Back
Top Bottom