Kwa haya anayoyafanya Rais wetu acha pesa ipotea mtaani kwanza

bryan2

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
3,323
4,678
Naweza kusema Rais wetu amedhubutu,kama ni kugusa amegusa kule kwenyewe kabisa.

Naimani pesa kupotea mtaani ni mapito ya muda tu huku mifumo ikiwekwa vizuri kwa ripoti ya leo kuna watu wameifaidi keki ya nchi hii ila muda sio mrefu tutaanza kufaidi keki wote,keki ya taifa lazima iliwe na Watanzania wote.

Hongera sana, Watanzania tupo nawe bega kwa bega kwa mambo ya msingi kama haya.
 
Kuimba kupokezana. Kuna huyu mtu naskia anaitwa Bashite yeye ndio Pesa imeanza kumtembelea utawala huu
 
Back
Top Bottom