Ardhi University wanatafutwa?
Kuna shahada kama BE, CM, LMV, ARCHTECTURE, INTERIOR DESIGN, REFI, EE, GM, ISM, BAF just to mention few. Hawa wote wapo mitaani na tulikuwa pamoja katika kudharau watu waliosoma IFM, CBE na IAA...
Sikiliza kijana, wewe bado upo chuo, nenda kaulize hao wanafunzi wa Ardhi wanasemaje kuhusu field tu. Kama field tu inawapa shida, hiyo ajira unaisemaje?
Sasa wewe unataka kupotosha watu kuwa waajiri wanawatafuta wanafunzi kutoka Ardhi ili iweje?, Ardhi sio isolated island kijana, tuna wadogo zetu tunasomesha hapo, hata huyo Idrisa Mshoro anajua vizuri hali ya ajira, halafu wewe unataka kujidanganya kuwa hali ni nzuri eti kisa taaluma za hapo ni za kipekee!