Kwa CHADEMA asilia tuu...

Kwa CHADEMA asilia tuu...

Mapirobe

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
683
Reaction score
117
CHADEMA ASILIA TUU:

Ndugu wapenzi na wanachadema halisi na mageuzi kwa ujumla, haihitaji kuwa na degree kujua tumesaritiwa na watu tuliwaamini na kuwapa vyeo ndani ya chama chetu ili watuongoze, cheo ni dhamana,
hatutakiwi kubeba makosa ya Mbowe wala yeyote, kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe.

Kutuletea mgombea uraisi wa kuchonga ni jambo lisiloingia akilini! katika watu wote ina maana hakuna mtu ambaye angefaa kuongoza nchi? ina maana chama chetu kwa muda wote ni mamburula?

Kweli tunafikia sehemu kwenda ikulu kwa kudandia lift ya gari bovu liliachwa na CCM!! hii haiingiii akilini! huu ni udhalilishwaji mkubwa wa wanamageuzi wote! ndo maana wanamageuzi wa kweli wengi wamepiga u turn! bora tuwape CCM waendelee kuongoza japo kwa miaka mitano ili tujipange upya.

Kurudisha majeshi nyuma ukijipanga ni mbinu ya kijeshi. Kwa hapa tulipofikia tukiendee mbele bila kujipanga upya hatutakuwa na real cause ya kuendelea na mapambano maana majemedali wetu wamepigika kiaakili, wako insane, hawana clear mind.

Mwanajeshi mtiifu yeyote kinachotakiwa kwa sasa ni kutumia akili na means yeyote kuwaweka kando hawa majemedari na kurudi nyuma ili tujipange kuepusha maafa na madhara zaidi.

Jeshi letu limeeingiliwa na mamluki aliyokuja nayo huyu mgombea wa kuchonga, wanatutumia tu kwa malengo maalum kwa kipindi hiki! tusiiombe wapate wanachotaka! tutalia na kusaga meno jinsi watakavyotutifua! wao hawana chakupoteza! ndo maana nawaomba sana wanamageuzi tufumbue macho! tafakari watu waliokuwa upande wa pili wamekuja huku kwa wingi na mambo yao yaleyale waliyokuwa wanayafanya kule ikiwemo matusi na kejeli na dharau kwa mtu anaye tofautiana nao mawazo!

Kwao matusi wala sio issue! kwao kuongopa wala sio issue! tabia ya virusi inapoingia kwenye system ina act kama genuine software kumbe ukishaikubali inaanza kula mafile na hatimaye kucolapse system nzima.

Wanamageuzi tuungane kukataa mageuzi ya kitapeli haya ya virusi kwa njia moja tu, tuwape CCM muhula mmoja then kipindi hiki tujipange kwa mageuzi ya kweli.

Tupingane na mabadiriko yasiyoweza kuratibiwa.
kama tunaipenda nchi yetu tukatae huu mkusanyiko wa chui wenye njaa wanaohubiri kukomboa kondoo kutoka zizi la simba walio shiba.

KWA PAMOJA TUNAWEZA:
 
Tangu chadema wamsimamishe lowasa kugombea urais nimekata tamaa kabisa !am fed up n what i will do is just to vote for a right candidate!tunadanganywa kuhusu mfumo...what a piety!
 
CHADEMA ASILIA TUU:

Ndugu wapenzi na wanachadema halisi na mageuzi kwa ujumla, haihitaji kuwa na degree kujua tumesaritiwa na watu tuliwaamini na kuwapa vyeo ndani ya chama chetu ili watuongoze, cheo ni dhamana,
hatutakiwi kubeba makosa ya Mbowe wala yeyote, kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe.

Kutuletea mgombea uraisi wa kuchonga ni jambo lisiloingia akilini! katika watu wote ina maana hakuna mtu ambaye angefaa kuongoza nchi? ina maana chama chetu kwa muda wote ni mamburula?

Kweli tunafikia sehemu kwenda ikulu kwa kudandia lift ya gari bovu liliachwa na CCM!! hii haiingiii akilini! huu ni udhalilishwaji mkubwa wa wanamageuzi wote! ndo maana wanamageuzi wa kweli wengi wamepiga u turn! bora tuwape CCM waendelee kuongoza japo kwa miaka mitano ili tujipange upya.

Kurudisha majeshi nyuma ukijipanga ni mbinu ya kijeshi. Kwa hapa tulipofikia tukiendee mbele bila kujipanga upya hatutakuwa na real cause ya kuendelea na mapambano maana majemedali wetu wamepigika kiaakili, wako insane, hawana clear mind.

Mwanajeshi mtiifu yeyote kinachotakiwa kwa sasa ni kutumia akili na means yeyote kuwaweka kando hawa majemedari na kurudi nyuma ili tujipange kuepusha maafa na madhara zaidi.

Jeshi letu limeeingiliwa na mamluki aliyokuja nayo huyu mgombea wa kuchonga, wanatutumia tu kwa malengo maalum kwa kipindi hiki! tusiiombe wapate wanachotaka! tutalia na kusaga meno jinsi watakavyotutifua! wao hawana chakupoteza! ndo maana nawaomba sana wanamageuzi tufumbue macho! tafakari watu waliokuwa upande wa pili wamekuja huku kwa wingi na mambo yao yaleyale waliyokuwa wanayafanya kule ikiwemo matusi na kejeli na dharau kwa mtu anaye tofautiana nao mawazo!

Kwao matusi wala sio issue! kwao kuongopa wala sio issue! tabia ya virusi inapoingia kwenye system ina act kama genuine software kumbe ukishaikubali inaanza kula mafile na hatimaye kucolapse system nzima.

Wanamageuzi tuungane kukataa mageuzi ya kitapeli haya ya virusi kwa njia moja tu, tuwape CCM muhula mmoja then kipindi hiki tujipange kwa mageuzi ya kweli.

Tupingane na mabadiriko yasiyoweza kuratibiwa.
kama tunaipenda nchi yetu tukatae huu mkusanyiko wa chui wenye njaa wanaohubiri kukomboa kondoo kutoka zizi la simba walio shiba.

KWA PAMOJA TUNAWEZA:
uzi wako ni vigumu kupata mashiko kwa sababu tunacho taka sisi ni ccm kutoka madarakani basi.hata shetani akitokea akawa anashauri moja na sisi kitu ambacho si rahisi tutamwunga mkono.Ili mambo yaanze kwenda bila laana katika nchi hii ni ccm iondoke kwanza na mengine ya tarekebishwa baadaye
 
Uliifahamu lini CDM ikiwa hujui hata matumizi sahihi ya 'l' na 'r'?
 
uzi wako ni vigumu kupata mashiko kwa sababu tunacho taka sisi ni ccm kutoka madarakani basi.hata shetani akitokea akawa anashauri moja na sisi kitu ambacho si rahisi tutamwunga mkono.Ili mambo yaanze kwenda bila laana katika nchi hii ni ccm iondoke kwanza na mengine ya tarekebishwa baadaye

Umepotea ulipo sipo,jiunge na makamanda wazalendo
 
CHADEMA ASILIA TUU:

Ndugu wapenzi na wanachadema halisi na mageuzi kwa ujumla, haihitaji kuwa na degree kujua tumesaritiwa na watu tuliwaamini na kuwapa vyeo ndani ya chama chetu ili watuongoze, cheo ni dhamana,
hatutakiwi kubeba makosa ya Mbowe wala yeyote, kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe.

Kutuletea mgombea uraisi wa kuchonga ni jambo lisiloingia akilini! katika watu wote ina maana hakuna mtu ambaye angefaa kuongoza nchi? ina maana chama chetu kwa muda wote ni mamburula?

Kweli tunafikia sehemu kwenda ikulu kwa kudandia lift ya gari bovu liliachwa na CCM!! hii haiingiii akilini! huu ni udhalilishwaji mkubwa wa wanamageuzi wote! ndo maana wanamageuzi wa kweli wengi wamepiga u turn! bora tuwape CCM waendelee kuongoza japo kwa miaka mitano ili tujipange upya.

Kurudisha majeshi nyuma ukijipanga ni mbinu ya kijeshi. Kwa hapa tulipofikia tukiendee mbele bila kujipanga upya hatutakuwa na real cause ya kuendelea na mapambano maana majemedali wetu wamepigika kiaakili, wako insane, hawana clear mind.

Mwanajeshi mtiifu yeyote kinachotakiwa kwa sasa ni kutumia akili na means yeyote kuwaweka kando hawa majemedari na kurudi nyuma ili tujipange kuepusha maafa na madhara zaidi.

Jeshi letu limeeingiliwa na mamluki aliyokuja nayo huyu mgombea wa kuchonga, wanatutumia tu kwa malengo maalum kwa kipindi hiki! tusiiombe wapate wanachotaka! tutalia na kusaga meno jinsi watakavyotutifua! wao hawana chakupoteza! ndo maana nawaomba sana wanamageuzi tufumbue macho! tafakari watu waliokuwa upande wa pili wamekuja huku kwa wingi na mambo yao yaleyale waliyokuwa wanayafanya kule ikiwemo matusi na kejeli na dharau kwa mtu anaye tofautiana nao mawazo!

Kwao matusi wala sio issue! kwao kuongopa wala sio issue! tabia ya virusi inapoingia kwenye system ina act kama genuine software kumbe ukishaikubali inaanza kula mafile na hatimaye kucolapse system nzima.

Wanamageuzi tuungane kukataa mageuzi ya kitapeli haya ya virusi kwa njia moja tu, tuwape CCM muhula mmoja then kipindi hiki tujipange kwa mageuzi ya kweli.

Tupingane na mabadiriko yasiyoweza kuratibiwa.
kama tunaipenda nchi yetu tukatae huu mkusanyiko wa chui wenye njaa wanaohubiri kukomboa kondoo kutoka zizi la simba walio shiba.

KWA PAMOJA TUNAWEZA:

Sema CCM halisi usitake kuvaa kote ambalo si lako.Punguza kiherehere nakujifanya wewe ni Chadema kwani sisi tunakujuwa kuliko wewe unavyozani.Kuwa mstaarabu na uje na hoja za kujenga na siyo umbeya.
 
CHADEMA ASILIA TUU:

Ndugu wapenzi na wanachadema halisi na mageuzi kwa ujumla, haihitaji kuwa na degree kujua tumesaritiwa na watu tuliwaamini na kuwapa vyeo ndani ya chama chetu ili watuongoze, cheo ni dhamana,
hatutakiwi kubeba makosa ya Mbowe wala yeyote, kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe.

Kutuletea mgombea uraisi wa kuchonga ni jambo lisiloingia akilini! katika watu wote ina maana hakuna mtu ambaye angefaa kuongoza nchi? ina maana chama chetu kwa muda wote ni mamburula?

Kweli tunafikia sehemu kwenda ikulu kwa kudandia lift ya gari bovu liliachwa na CCM!! hii haiingiii akilini! huu ni udhalilishwaji mkubwa wa wanamageuzi wote! ndo maana wanamageuzi wa kweli wengi wamepiga u turn! bora tuwape CCM waendelee kuongoza japo kwa miaka mitano ili tujipange upya.

Kurudisha majeshi nyuma ukijipanga ni mbinu ya kijeshi. Kwa hapa tulipofikia tukiendee mbele bila kujipanga upya hatutakuwa na real cause ya kuendelea na mapambano maana majemedali wetu wamepigika kiaakili, wako insane, hawana clear mind.

Mwanajeshi mtiifu yeyote kinachotakiwa kwa sasa ni kutumia akili na means yeyote kuwaweka kando hawa majemedari na kurudi nyuma ili tujipange kuepusha maafa na madhara zaidi.

Jeshi letu limeeingiliwa na mamluki aliyokuja nayo huyu mgombea wa kuchonga, wanatutumia tu kwa malengo maalum kwa kipindi hiki! tusiiombe wapate wanachotaka! tutalia na kusaga meno jinsi watakavyotutifua! wao hawana chakupoteza! ndo maana nawaomba sana wanamageuzi tufumbue macho! tafakari watu waliokuwa upande wa pili wamekuja huku kwa wingi na mambo yao yaleyale waliyokuwa wanayafanya kule ikiwemo matusi na kejeli na dharau kwa mtu anaye tofautiana nao mawazo!

Kwao matusi wala sio issue! kwao kuongopa wala sio issue! tabia ya virusi inapoingia kwenye system ina act kama genuine software kumbe ukishaikubali inaanza kula mafile na hatimaye kucolapse system nzima.

Wanamageuzi tuungane kukataa mageuzi ya kitapeli haya ya virusi kwa njia moja tu, tuwape CCM muhula mmoja then kipindi hiki tujipange kwa mageuzi ya kweli.

Tupingane na mabadiriko yasiyoweza kuratibiwa.
kama tunaipenda nchi yetu tukatae huu mkusanyiko wa chui wenye njaa wanaohubiri kukomboa kondoo kutoka zizi la simba walio shiba.

KWA PAMOJA TUNAWEZA:
Chadema ni baba yanu au mama yenu? si mhamie huko sisiem? kwani wote wasioridhika na mienendo ya vyama vyao si wamehama? au huko hamkaribishwi? hizi ni siasa za majitaka na kutafuta vurugu nchini lakini jipangeni ICC wako hapa na in case of anything nyie wote mtakusanywa kama panzi
 
sasa tukifanya hivyo tutakuwa tunamkomoa nani? sisi ndio wenye chadema hatuwezi tukawakimbia wageni au kujikomoa wenyewe, sasa hivi ccm tumeshawapiga ngumi mbili mfurulizo na wanaelekea kukaa chini sasa inatudid kuzidisha mashambulizi tusiwape chansi ya kujipanga tukishinda sisi ndio tulioshinda na tukishindwa tumeshindwa sisi na tunaitaji kushinda
 
Wewe ni CCM na hujawahi kuwa mwana CHADEMA.. hiyo ni mbinu hafifu saaaaaana unayotumia.. pole kajipange upya
 
CHADEMA ASILIA TUU:

Ndugu wapenzi na wanachadema halisi na mageuzi kwa ujumla, haihitaji kuwa na degree kujua tumesaritiwa na watu tuliwaamini na kuwapa vyeo ndani ya chama chetu ili watuongoze, cheo ni dhamana,
hatutakiwi kubeba makosa ya Mbowe wala yeyote, kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe.

Kutuletea mgombea uraisi wa kuchonga ni jambo lisiloingia akilini! katika watu wote ina maana hakuna mtu ambaye angefaa kuongoza nchi? ina maana chama chetu kwa muda wote ni mamburula?

Kweli tunafikia sehemu kwenda ikulu kwa kudandia lift ya gari bovu liliachwa na CCM!! hii haiingiii akilini! huu ni udhalilishwaji mkubwa wa wanamageuzi wote! ndo maana wanamageuzi wa kweli wengi wamepiga u turn! bora tuwape CCM waendelee kuongoza japo kwa miaka mitano ili tujipange upya.

Kurudisha majeshi nyuma ukijipanga ni mbinu ya kijeshi. Kwa hapa tulipofikia tukiendee mbele bila kujipanga upya hatutakuwa na real cause ya kuendelea na mapambano maana majemedali wetu wamepigika kiaakili, wako insane, hawana clear mind.

Mwanajeshi mtiifu yeyote kinachotakiwa kwa sasa ni kutumia akili na means yeyote kuwaweka kando hawa majemedari na kurudi nyuma ili tujipange kuepusha maafa na madhara zaidi.

Jeshi letu limeeingiliwa na mamluki aliyokuja nayo huyu mgombea wa kuchonga, wanatutumia tu kwa malengo maalum kwa kipindi hiki! tusiiombe wapate wanachotaka! tutalia na kusaga meno jinsi watakavyotutifua! wao hawana chakupoteza! ndo maana nawaomba sana wanamageuzi tufumbue macho! tafakari watu waliokuwa upande wa pili wamekuja huku kwa wingi na mambo yao yaleyale waliyokuwa wanayafanya kule ikiwemo matusi na kejeli na dharau kwa mtu anaye tofautiana nao mawazo!

Kwao matusi wala sio issue! kwao kuongopa wala sio issue! tabia ya virusi inapoingia kwenye system ina act kama genuine software kumbe ukishaikubali inaanza kula mafile na hatimaye kucolapse system nzima.

Wanamageuzi tuungane kukataa mageuzi ya kitapeli haya ya virusi kwa njia moja tu, tuwape CCM muhula mmoja then kipindi hiki tujipange kwa mageuzi ya kweli.

Tupingane na mabadiriko yasiyoweza kuratibiwa.
kama tunaipenda nchi yetu tukatae huu mkusanyiko wa chui wenye njaa wanaohubiri kukomboa kondoo kutoka zizi la simba walio shiba.

KWA PAMOJA TUNAWEZA:

CCM=CHANZO CHA MATATIZO. Ni bora hata kupigia kura jiwe lakini sio ccm. Magufuli ni mzuri ila sasa tawi alilokalia(CCM), ndiyo tunataka tulikate kabisa maana halizai matunda mema, badala yake linazaa laana kwenye nchi yetu.
 
Kwanini ukugombea urais ama wewe ni mwana CDM?
 
Toka zako hukoo WEWE NI CCM MTUPU UNAJIPENDEKEZA CHADEMA ..HATUKITAKI UNANUKA....SHOMBO ZAKO PELEKA CCM
 
CHADEMA ASILIA TUU:

Ndugu wapenzi na wanachadema halisi na mageuzi kwa ujumla, haihitaji kuwa na degree kujua tumesaritiwa na watu tuliwaamini na kuwapa vyeo ndani ya chama chetu ili watuongoze, cheo ni dhamana,
hatutakiwi kubeba makosa ya Mbowe wala yeyote, kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe.

Kutuletea mgombea uraisi wa kuchonga ni jambo lisiloingia akilini! katika watu wote ina maana hakuna mtu ambaye angefaa kuongoza nchi? ina maana chama chetu kwa muda wote ni mamburula?

Kweli tunafikia sehemu kwenda ikulu kwa kudandia lift ya gari bovu liliachwa na CCM!! hii haiingiii akilini! huu ni udhalilishwaji mkubwa wa wanamageuzi wote! ndo maana wanamageuzi wa kweli wengi wamepiga u turn! bora tuwape CCM waendelee kuongoza japo kwa miaka mitano ili tujipange upya.

Kurudisha majeshi nyuma ukijipanga ni mbinu ya kijeshi. Kwa hapa tulipofikia tukiendee mbele bila kujipanga upya hatutakuwa na real cause ya kuendelea na mapambano maana majemedali wetu wamepigika kiaakili, wako insane, hawana clear mind.

Mwanajeshi mtiifu yeyote kinachotakiwa kwa sasa ni kutumia akili na means yeyote kuwaweka kando hawa majemedari na kurudi nyuma ili tujipange kuepusha maafa na madhara zaidi.

Jeshi letu limeeingiliwa na mamluki aliyokuja nayo huyu mgombea wa kuchonga, wanatutumia tu kwa malengo maalum kwa kipindi hiki! tusiiombe wapate wanachotaka! tutalia na kusaga meno jinsi watakavyotutifua! wao hawana chakupoteza! ndo maana nawaomba sana wanamageuzi tufumbue macho! tafakari watu waliokuwa upande wa pili wamekuja huku kwa wingi na mambo yao yaleyale waliyokuwa wanayafanya kule ikiwemo matusi na kejeli na dharau kwa mtu anaye tofautiana nao mawazo!

Kwao matusi wala sio issue! kwao kuongopa wala sio issue! tabia ya virusi inapoingia kwenye system ina act kama genuine software kumbe ukishaikubali inaanza kula mafile na hatimaye kucolapse system nzima.

Wanamageuzi tuungane kukataa mageuzi ya kitapeli haya ya virusi kwa njia moja tu, tuwape CCM muhula mmoja then kipindi hiki tujipange kwa mageuzi ya kweli.

Tupingane na mabadiriko yasiyoweza kuratibiwa.
kama tunaipenda nchi yetu tukatae huu mkusanyiko wa chui wenye njaa wanaohubiri kukomboa kondoo kutoka zizi la simba walio shiba.

KWA PAMOJA TUNAWEZA:

Hahaahaaa!...miujizah hii jamani,wewe umeanza kuwa mwanaCHADEMA TOKEA LINI?...MAANA NAONA GAMBA LIKIJIVIKA NGOZI YA KONDOO HAPA...Pleaz! do a favour for me...just screenshot NAMBA YAKO YA KADI YA UWANACHAMA CHADEMA THEN NIWEKEE HAPA SAWAAA?...USITAKE KUJUA MIMI NI NANI CHADEMA...WEWE FANYA HIVYO ALAFU MENGINE YATAFUATA,UNAVYOSEMA KWA PAMOJA TUNAWEZA NA NANI??...NA KAMA KUJITOA UKAWA NA KUMMPA MAGUFULI KWA HIYO MIAKA MITANO FANYA MWENYEWE...NI BORA NIFE...KULIKO KUMPA KURA YANGU ATA KWA MWAKA MMOJA TU!
 
Makamanda wote tubadilike twende na Magufuri kama mm tutajipanga mbele!!!
 
Team chooni wanajiliwaza kwa kasi. Badilisheni id
 
Back
Top Bottom