MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Mimi sitaenda kupiga kura lakini hii nafasi ikitolewa kwa kukurupuka bila kuzingatia umuhimu wake au kwa mazoea tutakumbukana baadae.
WanaCCM kama bado mnataka hiki chama kiendelee kuishi milele mpeni uongozi mwanasiasa haswaa na mzoefu wa shughuli za kisiasa. Hii nafasi imekaa kisiasa zaidi na sio kutenda kwa kutumia nguvu nyingi.Ni nafssi ya kidiplomasia zaidi.
Jidanganyeni kua kwenye chama hatutaki siasa tunataka vitendo huku chama chenyewe ni cha siasa,jidanganyeni kua hatutaki propaganda tunataka vitendo zaidi.
Tutakumbukana baadaye"Mark my words"
WanaCCM kama bado mnataka hiki chama kiendelee kuishi milele mpeni uongozi mwanasiasa haswaa na mzoefu wa shughuli za kisiasa. Hii nafasi imekaa kisiasa zaidi na sio kutenda kwa kutumia nguvu nyingi.Ni nafssi ya kidiplomasia zaidi.
Jidanganyeni kua kwenye chama hatutaki siasa tunataka vitendo huku chama chenyewe ni cha siasa,jidanganyeni kua hatutaki propaganda tunataka vitendo zaidi.
Tutakumbukana baadaye"Mark my words"