ungekuwa na website ingekuwa vyema....
mbona kuwa na blog ni free...?
unanunua digital camera na kuupdate hizo nyumba kny blog...
huwezi kunitembeza kny nyumba zote 30 ila kwa picha nitakuwa na uwezo wa kumake decision nyumba ipi nimeipenda.....lol:sleepy::sleepy::wacko: