Kwa anayekifahamu chuo cha kilimo Igurusi Mbeya

Kwa anayekifahamu chuo cha kilimo Igurusi Mbeya

Jerry santonga

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2014
Posts
647
Reaction score
565
Wakuu habari zenu, tafadhali kwa anayejua chuo cha kilimo Igurusi Mbeya amjuze mdogo wetu amechaguliwa huko. Vipi kuna neema au chenga wakuu wanaokijua?
 
Anayefaham naomba anijuze , Mimi nimekua selected according to NACTE lakini kunataarifa zinaonyesha Kuwa bado uthibitisho kutoka chouni.
Ningependa kufaham kwamba inachukua mud a gani kuthibitishwa na Chuo , pia mwaka wa masomo kwa wanafunzi wa diploma za kilimo utaanza mwezi wa ngapi ?
 
Anayefaham naomba anijuze , Mimi nimekua selected according to NACTE lakini kunataarifa zinaonyesha Kuwa bado uthibitisho kutoka chouni.
Ningependa kufaham kwamba inachukua mud a gani kuthibitishwa na Chuo , pia mwaka wa masomo kwa wanafunzi wa diploma za kilimo utaanza mwezi wa ngapi ?
umechaguliwa chuo gani
 
Anayefaham naomba anijuze , Mimi nimekua selected according to NACTE lakini kunataarifa zinaonyesha Kuwa bado uthibitisho kutoka chouni.
Ningependa kufaham kwamba inachukua mud a gani kuthibitishwa na Chuo , pia mwaka wa masomo kwa wanafunzi wa diploma za kilimo utaanza mwezi wa ngapi ?
Nivema utafute Namba zao za simu, ili uwasiliane nao direct! Namba zao utazipata kwenye profile yao! Asante
 
Wakuu habari zenu, tafadhali kwa anayejua chuo cha kilimo Igurusi Mbeya amjuze mdogo wetu amechaguliwa huko. Vipi kuna neema au chenga wakuu wanaokijua?
Tunakifaham mnooo we karb xna shuka igurusi fuata bararaba ya kwenda utengule ata kwa mguu unafika kwa dk 10
 
Mimi ninyumban nimezaliwa pale nimekuwa pale na baba yangu ni mwl wa hicho chuo yaan ni chuo kizuri sana tena sana ajira moja kwa moja bila kuhangaika na vyeti kuomba kazi,
 
Nivema utafute Namba zao za simu, ili uwasiliane nao direct! Namba zao utazipata kwenye profile yao! Asante
Nambazao ukipiga unaambiwa namba imezuiliwa kwa muda , alaf mamba nyingne ukipiga anapokea RAIA wa kawaida tena mwanamama! Hata cjui how come wameweka mamba zisizo na msaada wowote
 
Back
Top Bottom