Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,288
- 5,762
Wapendwa
Kuna mtu aliniletea Galaxy note 3 mpya (Haina contacts wala setting zozote) anataka kuniuzia.
Nilimuhoji kuhusu uhalali wake kwa kuwa ni mtu nisiye mfaham
Kanijulisha kuwa kaka yake anafanya biashara ya Dubai hivyo kampatia..ila yeye kaona auze.
Nimeweka laini; ina niambia new line detected
Haimaanishi kuwa ina shida ila, nimewaza...isije kuwa mtu alichukua simu akaweka tracking code ambapo nikiinunua anaweza kuja kunifuatilia aseme iliibiwa.
Nawezaje kujua kama simu imewekwa tracking?
Asanteni
Kuna mtu aliniletea Galaxy note 3 mpya (Haina contacts wala setting zozote) anataka kuniuzia.
Nilimuhoji kuhusu uhalali wake kwa kuwa ni mtu nisiye mfaham
Kanijulisha kuwa kaka yake anafanya biashara ya Dubai hivyo kampatia..ila yeye kaona auze.
Nimeweka laini; ina niambia new line detected
Haimaanishi kuwa ina shida ila, nimewaza...isije kuwa mtu alichukua simu akaweka tracking code ambapo nikiinunua anaweza kuja kunifuatilia aseme iliibiwa.
Nawezaje kujua kama simu imewekwa tracking?
Asanteni