Kwa Anayejua Samsung Galaxy NOTE 3

Kwa Anayejua Samsung Galaxy NOTE 3

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,288
Reaction score
5,762
Wapendwa
Kuna mtu amenijia kwenye ofisi anataka kuniuzia Galaxy Note 3
Mimi simfaham ila amejitambulisha kuwa kaka yake anafanya biashara ya kwenda Dubai.
Simu yenyewe ni mpya kabisa wala haina contact yoyote (haijatumika)

Tatizo langu:
Nimeweka laini ikaniambia new line detected
Ni kahisi kulikuwa kumewekwa laini nyingine kabla ya hiyo ya kwangu.

Wasiwasi wangu: Isije kuwa ni mpya kabisa ila imewekwa tracking system hivyo nikinunua naweza kufuatiliwa na pengine kuambiwa iliibiwa???
Naomba mwenye ujuzi anisaidie

Asanteni
 
Mkuu hiloo la new sim detected
Lisikupe shaka... Ishu ni kama kuna hiyo tracking apps..
Kwanza jaribu kuchunguza kwamba hiyo simu haijafanyiwa rooting.. My point is kama imefanyiwa rooting kuna uwezekano mkubwa wa hiyoo simu kuwa na tracking apps.....

setting>>> apps manager kisha chunguza
kwa makini app moja hadi nyingine, ukiiona app
yoyote usiyoielewa inukuu sehemu kisha
nenda google ukaisearch ili ujue kazi yake..


Bt kwanza fanya hard reset kwenye hiyo simu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom