Salvatory Mkami Senior Member Apr 17, 2013 146 244 Jan 12, 2017 #1 Ni ipi sababu inayopelekea ziara za rais za mara kwa mara katika mikoa ya Geita, Mwanza, Shinyanga na sio Arusha, Moshi, Manyara, Mbeya, Iringa nk?!
Ni ipi sababu inayopelekea ziara za rais za mara kwa mara katika mikoa ya Geita, Mwanza, Shinyanga na sio Arusha, Moshi, Manyara, Mbeya, Iringa nk?!
fenestra rotunda JF-Expert Member Jun 18, 2015 608 614 Jan 12, 2017 #5 Huko ndo alikopata kura nyingi,lazima arudi huko ili 2020 wamrudishe tena kwa idadi ila ya kura,though sina hakika kama zitakuwa kama 2015
Huko ndo alikopata kura nyingi,lazima arudi huko ili 2020 wamrudishe tena kwa idadi ila ya kura,though sina hakika kama zitakuwa kama 2015