Ni swala la uelewa Tu..alinikoromea kwamba hana muda wa kwenda kujifunza Photoshop miezi mitatu wakati yeye ni mtumishi,hiyo comment ndy ilinifanya nikaacha majadiliano naye maana niligundua ingawa alni mtumishi lkn Yuko outdated na dunia inavyokwenda.Km anamiliki smartphone hakuwa na sababu ya kwenda popote anapojinasibu kwamba Hana muda,badala yake anaweka bando Tu anaingia YouTube Kula tutorials kisha maisha yanaendelea
Dunia ya sasa huitaji kwenda mahali physically kutafuta maarifa wakati tuna ulimwengu viganjani mwetu.Mtumishi aliniangusha sn Kwa Ile comment