cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
- Thread starter
- #21
We ndio mtoto halafu nimegundua una mapungufu ww.....mimi ni mtumishi wa umma eti niache kwenda kazin unataka niende nikasomee photoshop eti ili nije kupost picha fb nk....tena nilipokuona we ni chiz unasisitiza kabisa et course ni miezi mitatu tu...kifupi mm sio photoshoper mwezio mm ni mtumishi wa serikali swala la kuedit picha halihusian kbs na unavyotaka ww kwamba niache kazi niende course! Hlf nimekwambia natumia cm lakin bado ukawa unanilazimisha kuhusu pc sasa ikabid nikushangae hv ninunue pc kwa ajili ya ku edit pics tu na kupost mtandaon? Pale ndio nikangundua ushaur wako unafanana na ubongo wako ...coz brain yako ni zeroSijui Nani kamwambia huko FB wanataka wapostiwe picha mbovu!! Maana anasisitiza kwamba haedit Kwa ajili ya biashara.Anafanana na mtu anayepika chakula kibovu ukimwambia chakula chako siyo kizuri jaribu kuimprove anakujibu Hiki nakula mwenyewe siwauzii watu(siyo cha biashara)
Ana utoto mwingi