Je waweza nipa namba zao za simu pleasekina muonekano mzuri mazingira tulivu pia hamna utoto utoto maana wanaosoma pale ni kuanzia masters tu.. me nakijua kwa nje nje tu maana naendaga kucheza mpira pale.. pia kina pakana na chuo cha uhasibu Arusha Iaa ..kipo maeneo ya njiro hill Arusha
Done.Je waweza nipa namba zao za simu please