Mimi nilishawahi kuweka tangazo humu la kutafuta mke lakini sijampata aliyekua na vigezo.
Mimi nahitaji mwanamke wa kuoa, umri wangu 26yrs, muislam elimu yangu ni nina bachelor degree.
Mwanamke ninayemuhitaji awe na sifa zifuatazo
Awe muislam
Awe ameishia angalau form four na kuendelea
Awe na umri wa miaka kati ya 18-30
Awe na upendo wa kweli
Awe na uwezo wa kusimamia miradi mbalimbali ya kimaendeleo kama atakua hana kazi
Awe na mapenzi ya kweli
Asiwe na mtoto
Kabila lolote
Kwa aliyeserious tu anitafute kupitia 0758 106 501
Mimi nahitaji mwanamke wa kuoa, umri wangu 26yrs, muislam elimu yangu ni nina bachelor degree.
Mwanamke ninayemuhitaji awe na sifa zifuatazo
Awe muislam
Awe ameishia angalau form four na kuendelea
Awe na umri wa miaka kati ya 18-30
Awe na upendo wa kweli
Awe na uwezo wa kusimamia miradi mbalimbali ya kimaendeleo kama atakua hana kazi
Awe na mapenzi ya kweli
Asiwe na mtoto
Kabila lolote
Kwa aliyeserious tu anitafute kupitia 0758 106 501