Ochumeraa
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 4,504
- 5,707
Aiseee...kwamba kaumia kuliko hata waliozaa na bwana Mkubwa
Aiseee...kwamba kaumia kuliko hata waliozaa na bwana Mkubwa
Huko umefika mbali sana mkuu
😂😂 Na beki hazikabi!Wasanii wengi wa bongo kipa ametoka
Nakubali sana maoni yakoMpoto ndie aliyefanikiwa kugusa hisia za watu baada ya ule utenzi wake na wasingemuwahi watu walishaanza kupiga yowe
Muachage uongo
Kumbe humu wengi waongo wafitini na wazushi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpoto hajielewiAman iwe juu
Leo ndo nimeona mtu anajiliza nilikuwaga tu nasikia kuna watu huwa wanajiliza msiban
Yaan mtu analia jiko kavu kamaa dagaa Wa kigoma
Jamaa anajifanya kuongea kwa huzuni huku uson kakunja ndita, aise haya maajabu ya karne
Alafu cha ajabu jamaa anajiliza maboya nao wanalia kweli
Achen kutafuta kiki kwenye misiba ya watu
NEY YORK BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Uchumi wa Kati.Akishalia wewe unafikaje kwenye Tanzania ya viwanda?
Aya mamaWe ndo unaeteseka aimbe mwingine utenzi tulie sie uumie wewe hujionei aibu
Mi sijibu mtu kutokana na ID yake najibu post ya mtu kuipinga ama kuiunga mkono, ukilazimisha sana nakupa kali napewa ban maisha yanaenda
Kuhusu kukujua kwa ID nyingine hayo ni mengineyo hayahusiani na huu uhorojo ulioleta hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilalalaaaa La Familiaaaaaaaaaa Tanzaniaaaaaaaaa!!