Nimejaribu kufanya kautafiti fulani siyo rasmi sana. wasichana wengi wanajifungua nje ya ndoa- wakiwa mtaani, shuleni, kazini, mchepuko, vyuo vikuu n.k.
Nisaidieni chanzo cha haya masuala na madhara yake jamani ili kwa nafasi yangu nikiwapa darasa liweze kutoa matokeo mazuri.
Mungu awabariki
Nisaidieni chanzo cha haya masuala na madhara yake jamani ili kwa nafasi yangu nikiwapa darasa liweze kutoa matokeo mazuri.
Mungu awabariki