Kuweni makini na simu zeenye automatic call recorder

Kuweni makini na simu zeenye automatic call recorder

networker

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2011
Posts
570
Reaction score
217
habari zenu wadau najua mnapita huku sana kwa namna moja ama nyingine.

Nyie ndio mano linda nchi yetu na kubeba siri nzito za nchi hii ila kuna swala mmoja la mawasiliano ambalo sidhani kama ni jambo zuri kiusalama wa nchi yetu.

simu za smartphone ambazo hupendwa na wengi kwa sasa na nyingi nazo zilenga hapa ni hizi za bei nafuu kidogo ambazo hata mtu wa kipato cha kawaida anaweza ku nunua.....

simu hizi zina automatic call recorder nikimanisha zina recordi simu unazo pokea na kupiga bila wewe kujua na kuhifadhi nadni ya folder ndania ya simu yako ambalo ni rahisi kulifikia au ku acces folder hili kwa njia ya kawaida kama unavyo soma msg zako na kusikiliza. sasa concern yangu ipo hapa nimeona watu wangi haswa tajwa hapo juu wakimiliki simu hizi zinazo recordi kila simu uanyo piga au kipigiwa kitu ambacho ni rahisi sana kwa hackers/ujasusi wa kieletroniki kuweza kuingilia simu yako na kusikiliza simu zako zote kiurahisi.........

Utajuaje simu inajirekodi

Utajuaje simu anayo pigiwa au kupiga ina jirekodi... ukipigiwa simu na mtu na pindi unapo pokea uka sikia mlio kama wa vibration (dzdzzzz) mwanzoni kabisa jua hiyo simu ina rekodiwa na kuhifdhiwa katika moja wapo ya folder za simu yako bila hata ya wewe kujua ingawa wako wengine wanoa kagua simu zao sana wanaweza kuwa wamekutana na hili folder na kushangaa sana.... mara nyingi hili nimelikuta kwenye smartphone za bei rahisi ambazo kila mtu huweza kumiliki....

nime fuatilia kwenye smartphone za gharama sijaona hiki kitu.... mfano wasimu nilizo kuta hii kitu ni Tecno,Huwawei, samsung ace na za mfanano wake...


hivyo basi na weza nikawa nimekosea ila kwa kuwaza kwangu nimeona niwape hii taarifa ndogo ili mchukue tadhari mnapo tumia simu zenu au kununua simu kwa ajili ya kufikisha taarifa muhimu za nchii... mnisame kuelezea kwangu kubovu
 
mbona unaongea utoto kwenye dunia hii ya teknolojia? hukuwauliza ilikuwaje ikilu yetu ilindwe na warekani alipokuja obama?
 
Kumbe bado tupo kwenye walkie talkie era
 
Unazungumzia hayo wakati CIA wanashare kabisa na Window na software nyingi tu duniani hata FB na Twitter wanaingia direct na hata vifaa vingi vya electronic wanapata taarifa kama wakizitaka kwani Udukuzi unaanzia wp km sio hapo?
 
Kwa hawa vijana wetu wanaoripoti mambo ya nchi wakiwa Club au Bar mbona rahisi sana taarifa kuvuja? ?
Na Smartphones sasa zina application inayowatumia taarifa za mtumiaji wa sim husika ikiwamo DNA tupilia mbali kurekodi
 
Mleta habari naye nusunusu. Hiyo folder haina jina? Nataka nianze kujikagua.
 
hiyo ni app unaiweka wewe mwenyewe hivyo wacha wehu kila kitu chako kiko wazi kwenye mitandao ya sim mfano wapigie kampuni yako ya mawasiliano unayo tumia ka ni voda tigo airtel am zantel utasikia ikikuambia simu hii itarecodiwa kwa ajili hii na hii. wakisha pokea waulize jana niliweka buku10000 ya vocha kwenye sim yangu ni sielewi ilitumika vipi maana salio limesha na mimi mwenyewe sijaitumia? watakupa data zote ulipiga sim saa kadhaa ukatuma sms kadhaa kwa namba hii na hii ukatuma picha za uchi kwa huyu na huyu. kama ukibisha hapo wanakutumia hizo sms picha na hata kukusikilizisha upya maneno yote uliyo yaongea na watu wakati huo ulipo wapigia sim.
 
simu za bei rahisi unadharau wewe mimi natumia OPPO nayo yabei rahisi
 
Hata mimi niligundua swala hili nenda kwenye media player kagua utagundua swala hili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom