Kuwaza mapenzi kila saa ni tatizo?

Kuwaza mapenzi kila saa ni tatizo?

tajiri2018

Member
Joined
Aug 4, 2017
Posts
13
Reaction score
5
Hivi mtu ukiwa unaweza mapenzi kila mda kila siku tatizo ni nini na hli tatizo limenianza sina mda mrefu sijui shida ni nini, naombeni ushauri wenu na pia kama kuna mtu anaelewa dawa yake pia anaweza kunisaidia.
 
Hivi mtu ukiwa unaweza mapenzi kila mda kila siku ttz ni nn na hli tatizo limenianza sina mda mrefu sijui shida ni nini naombeni ushauri wen na pia Kama kuna mtu anaelewa dawa yake pia anaweza kunisaidia
Ni barehe tu hiyo kiongozi. Punde yataisha. Kwa sasa jiepushe na punyeto, itakuongezea mawazo ya mapenzi.
 
pole mkuu..tafuta wife tu au fanya kazi nyingine hasa ngumu isikufikirishe mapenzi
 
Weka akili na Nguvu zako ktk kutafuta pesa!au tafuta mrembo uoe!
 
Zingatia haya ujiepushe na hali hyo
>kula bila kushiba
>tafuta kaz ya kufanya
>Tafuta madeni
>fanya mazoez
 
Una good life mkuu...

Hongera.
 
Idle mind is.........
Hauko busy sana ndio maana, na hauna kinachokuumiza kichwa.
 
Back
Top Bottom