posibly ana minyoo aina ya Enterobius vermicularis au kwa jina lingine pin worm ambao hutaga mayai na huteremka kwenye maeneo ya haja kubwa wakati wa usiku na kusababisha muwasho wa aibu, unapojikuna unayahamisha hayo mayai kutoka hapo na kuyatawanya nje na kusababisha muendelezo wa maisha ya hao minyoo...
tiba: dawa ya minyoo kama albendazole (dozi kamili) au mebendazole itasaidia
ushauri wangu: aende kupata vipimo hospitali na ushauri wa daktari kabla ya kuanza kutumia dawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.