Kuwait bans 5 Muslim countries to enter Gulf state..

Kuwait bans 5 Muslim countries to enter Gulf state..

Kuwaiti nchi ya kiislam kwani? 😀 msingi wa nchi ya kiislam inaongozwa na Khalifa, na katika dunia haiwezekani kuwa na makhalifa wawili wakati mmoja. Sasa sifahamu watu wanaposema kuwait ni nchi ya kiislam.
 
Kuwaiti nchi ya kiislam kwani? 😀 msingi wa nchi ya kiislam inaongozwa na Khalifa, na katika dunia haiwezekani kuwa na makhalifa wawili wakati mmoja. Sasa sifahamu watu wanaposema kuwait ni nchi ya kiislam.


Unaanza spinning mchana mchana.. utabaki uchi humu..

Basi ili uridhike Kuwait ni nchi ya Kiyahudi... will tht sound good 4 u..?
 
Mkuu Isreal ndo wameshinikiza Kuwait kuwa piga marufuku hao wahamiaji? Nimeshindwa oanisha hizi mantiki

Sasa mbona wakristo mnawapenda sana wayahudi.na kuwasifia wakati hawaikubali dini yenu.
 
Kumbe tunamlaumu tu Trump bure, hata Waarabu wenyewe hawaaminiani!

Nadhani hii ilikuwa concern ya nchi nyingi duniani ila hapakuwa na mtu jasiri wa kulisemea na kusimamia. Kwa hali ilivyo, tutaona nchi nyingi tu za Ulaya zikiiga Trump'ism, Ufaransa,Australia, Ujerumani na Uturuki huenda zikafuata nyayo za Kuwait.

Vv
 
Unaanza spinning mchana mchana.. utabaki uchi humu..

Basi ili uridhike Kuwait ni nchi ya Kiyahudi... will tht sound good 4 u..?

You just need to use a little bit of brain. Uchi utabaki wewe kuongea usichokijua. Unaijua nchi ya kiislamu wewe? yaani nyie mnanishangaza kweli, mtu akivaa kanzu au buibui ndo nyie mnamwita muislam......
 
Baada ya ban ya Trump hakika niliona unafiki wa wanadamu na kwa hili la Kuwait utadhihirika zaidi. Ni vema watu wakajua kuwa Mkuu wa nchi yeyote ile anao wajibu wa kulinda maisha ya watu wake na mali zao kwa njia yeyote atakayoona inafaa.
 
Sasa mbona wakristo mnawapenda sana wayahudi.na kuwasifia wakati hawaikubali dini yenu.
Maamuzi binafsi,hata ninyi wapagani mnaweza kuwapenda na kuwasifia wayahudi.Hakuna anayewazuia
 
Back
Top Bottom