Ukiwa na hela huwezi pata mapenzi ya kweli maana hela ndio zinapendwa, nikiona hivi naona bora kutokujiingiza moja kwa moja kwenye mahusiano sababu mtu anaangalia anafaidikaje na haya mahusiano.
Hakuna kuenjoy kwenye usingo,...
Kuna wakati unatamani uambiwe maneno matam na mwenza wako, unahitaji kudekezwa, unahitaji faraja kwenye huzuni unazopitia na mengine mengi.
Sasa ukiwa single Nani atakufanyia yote hayo, tusidanganyaje usingo mbaya.
Hakuna kuenjoy kwenye usingo,...
Kuna wakati unatamani uambiwe maneno matam na mwenza wako, unahitaji kudekezwa, unahitaji faraja kwenye huzuni unazopitia na mengine mengi.
Sasa ukiwa single Nani atakufanyia yote hayo, tusidanganyaje
Hakuna kuenjoy kwenye usingo,...
Kuna wakati unatamani uambiwe maneno matam na mwenza wako, unahitaji kudekezwa, unahitaji faraja kwenye huzuni unazopitia na mengine mengi.
Sasa ukiwa single Nani atakufanyia yote hayo, tusidanganyaje usingo mbaya.