ras mkweli
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 280
- 105
Kuwa Rais, anafaa?
Msaada wadau, Kiswahili kinanichanganya kidogo, Ipi ni sahihi kati ya hizi sentensi.....KUWA RAIS ANAFAA? au ANAFAA KUWA RAIS? au JE, ANAFAA KUWA RAIS? hii lugha inachanganya sana...ndrukiiiiiiiii
ooooh!!!! kumbeVyote sawa..
Anafaa sana tupo nyuma yake sisi vijana wa wilaya zote za Tanzania, natamka kama Makonda maana nae alisema alivokuwa kwenye bunge la katiba kuwa anawakilisha vijana wa Tz na mimi niwe nimetumwa sijatumwa nawakilisha vijana wa wilaya zote za Tanzania
Kuwa Rais, anafaa?
![]()
Ananafaa sana tu. bora huyu ana maamuzi magumu kuliko Prof. fake TEZI.
Ccm mwaka huu ni shida wakimwacha el ukawa wanashinda wakimpa el ni sawa na upinzan
ha ha ha ha - inafurahisha sana kufikira vijana wa "Wilaya" zote Tanzania walikutanaje mpaka wakakuteua aisee...dah!