Mr Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 1,670
- 760
Wana Body
Hope mko powa wote hasa wakiume hili swali linawahusu sana ninyi,
Kwa upande wangu hii inakuwa changamoto sana kuwa mwanaume nafananisha na kufika kwenye buffet kuna vyakula vya kia aina na huwez kuvila vyote at once, zoez linakuwa gum sana kwenye selection maana kila kimoja kiko na taste tofauti na vya kuvutia mnooo.
Ndio maisha lahaula lakwata watoto wanazaliwa daily wazuri iiiiii mpaka huruma, yaani ukipita huku wakali kule wakali nahis kama mens tumepewa haya maua kama mitihani
Yaani unashindwa kuwazoea eti
Kuwa mwanaume sio rahis kama wengi wanavyozan utuliv wa kina wahitajika kuyashinda majaribu haya
Wewe waichukulia vipi hii hali yakhe
Hope mko powa wote hasa wakiume hili swali linawahusu sana ninyi,
Kwa upande wangu hii inakuwa changamoto sana kuwa mwanaume nafananisha na kufika kwenye buffet kuna vyakula vya kia aina na huwez kuvila vyote at once, zoez linakuwa gum sana kwenye selection maana kila kimoja kiko na taste tofauti na vya kuvutia mnooo.
Ndio maisha lahaula lakwata watoto wanazaliwa daily wazuri iiiiii mpaka huruma, yaani ukipita huku wakali kule wakali nahis kama mens tumepewa haya maua kama mitihani
Yaani unashindwa kuwazoea eti
Kuwa mwanaume sio rahis kama wengi wanavyozan utuliv wa kina wahitajika kuyashinda majaribu haya
Wewe waichukulia vipi hii hali yakhe