kuku wangu wanasumbuliwa sana na mafua na kikohozi ..jana nimewanunulia tetrasakilini nikaweka vidonge vitano kwenye maji ya lita tano je niko sahihi au nitumie dawa gani ?
kuku wangu wanasumbuliwa sana na mafua na kikohozi ..jana nimewanunulia tetrasakilini nikaweka vidonge vitano kwenye maji ya lita tano je niko sahihi au nitumie dawa gani ?