Kuwa kiburi inasaidia sana

Kuwa kiburi inasaidia sana

Technian Tanga

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
411
Reaction score
200
Habari za wakati huu wana MMU,

Leo nataka kutoa experience yangu kidogo kwanini demu akijua unampenda anakuwa anakusumbua? Nimekuwa mkatili na jeuri kwa warembo na nashangaa hao ninao wafanyia jeuri bado wananipenda na kunihitaji sana.

But kuna kawa wawili hao nawa treat poa sana yani bila kuwauzi but hao wanaonekana kuzingua zingua sometimes mikausho mikali mara wajirudi kiukweli wanasumbua akili yangu mmoja nimeshagegeda mmoja bado ananidanganya.

Hao wengine ninao treat vibaya wao yani wananikubali kiroho safi kabisa tena sio kwa kuwabembeleza, sasa why hawa ninaopenda na kutreat vizuri wana wenge?
 
Duh mwanamke humuwez kwa akil z kibnadam.
 
Badilisha formula, Anza kuwatreat vizuri Hao wasiokusumbua. Na uchague mmoja Kati Yao utulie naye, au una mpango wa kuwapanga foleni hadi lini?
 
Hii "eksipiriensi" mkuu nimekutana nayo pia mwanamke unayemeshimu sana mara nyingi,narudi mara nyingi(sio mara zote) wana-behave hivyo ,ukiamsha ndio anajifanya kujali/kupenda.tujitahidi kuwaelewa tu!
 
Ukijidai muungwana kwa demu utaipata cha mtema kuni bora ujidai bandidu na hueleweki eleweki hapo utadumu nae
 
Duuh ... My people are loss for the lack of knowledge.. Ooh Baba tusaidie .... Thanks...
 
Na nyie wanaume bana mna mamno. Sasa yote hayo ya nini? Every person is an individual. Kila mtu na tabia yake. Tatizo mmekremisha
 
Duuh ... My people are loss for the lack of knowledge.. Ooh Baba tusaidie .... Thanks...

Mpelekee mchungaji wako!!!
nyie ndio huwa mnafinyangwa kimya kimya na jamaa wanasepa kimya kimya.

mwisho wa siku mnajikuta mmejaza fuso na wale wanaoonekana wehu wamepitiwa na wawili tuu
 
Uchambuzi mzuri nimeupenda na una ukweli ndani yake
 
Back
Top Bottom