Technian Tanga
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 411
- 200
Habari za wakati huu wana MMU,
Leo nataka kutoa experience yangu kidogo kwanini demu akijua unampenda anakuwa anakusumbua? Nimekuwa mkatili na jeuri kwa warembo na nashangaa hao ninao wafanyia jeuri bado wananipenda na kunihitaji sana.
But kuna kawa wawili hao nawa treat poa sana yani bila kuwauzi but hao wanaonekana kuzingua zingua sometimes mikausho mikali mara wajirudi kiukweli wanasumbua akili yangu mmoja nimeshagegeda mmoja bado ananidanganya.
Hao wengine ninao treat vibaya wao yani wananikubali kiroho safi kabisa tena sio kwa kuwabembeleza, sasa why hawa ninaopenda na kutreat vizuri wana wenge?
Leo nataka kutoa experience yangu kidogo kwanini demu akijua unampenda anakuwa anakusumbua? Nimekuwa mkatili na jeuri kwa warembo na nashangaa hao ninao wafanyia jeuri bado wananipenda na kunihitaji sana.
But kuna kawa wawili hao nawa treat poa sana yani bila kuwauzi but hao wanaonekana kuzingua zingua sometimes mikausho mikali mara wajirudi kiukweli wanasumbua akili yangu mmoja nimeshagegeda mmoja bado ananidanganya.
Hao wengine ninao treat vibaya wao yani wananikubali kiroho safi kabisa tena sio kwa kuwabembeleza, sasa why hawa ninaopenda na kutreat vizuri wana wenge?